Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Heshima kwenu wakuu.Kwa kweli ni too much kwa ndugu zangu wa tigo msipojirekebisha mtapoteza wateja wengi kwa mtindo wenu huu wa huduma mbovu pasina kuzingatia.Huduma zenu sjui huwa mnakurupuka tu...
0 Reactions
187 Replies
26K Views
naombeni kwa mwenye registration code ya Boomerang data recovery. Nipoteza data zangu za chuo jaman plz help
0 Reactions
1 Replies
781 Views
You are supposed to hide your Identification via whatsapp ..you can available without your real ID... we can create each number that you want just check up us via 0655500066 sms or whatsapp even...
0 Reactions
116 Replies
22K Views
habari wana group, nimeona post nying hapa za jinsia ya kutumia whasap mbili kwenye simu moja, INAWEZEKANA, fuata maelezo ingia play store, then search disa kisha install Ikimaliza fungua disa...
3 Reactions
10 Replies
4K Views
Wakuu nimeamua kununua simu mpya kabla ya mwaka huu kuisha.So niliamua kupitia pitia kwenye online market app inayoitwa Jumia nikakutana na simu inayoitwa INNJOO FIRE PLUS baada ya kusoma features...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima kwenu! Mimi ni machinga nahitaji msaada wa jukwaa hili kama itawezekana. Nahitaji mtu mwenye uwezo wa kudevelop mobile application kama ya Citizen Tv ya Kenya au KTN anitafute tuone namna...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habarin kaka na dada zangu. mimi ninamiliki ipad ya apple yenye GB 32 hv karibun ilizimika ikawa inadai upadates. baas nikai update ikawaka na ilikuwa inadai kuji reset ikajireset na ikawa poa...
0 Reactions
2 Replies
812 Views
Vipo viwili, Pomona kimeandikwa MANU na Kingine PWR. Naombeni kujua matumizi yake tafadhali
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Hello!!! Natumia IBM thinkpad since nime install os mpya napata shida drives zake!! Nimejaribu kwenye Home page yao (IBM) sikufanikuwa.Naomba help kwenye drives zake .. Os mpya ni window 7...
0 Reactions
3 Replies
737 Views
Habari. Nataka kubadilisha simu naomba ushauri wako kati ya hizi simu ninunue ipi? -samsung galaxy j1 -samsung galaxy grand primier -samsumg galaxy core primier itakuwa vizuri mkiniwekea na...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
nmechoka kutumia smartphone za tecno coz nmekuwa nkjtahid kubadil mara kwa mara model tofaut sasa nataka kuhamia kwa samsung...kwa budget ya 250 ipi iko poa kwa matumiz ya kawaida.. natangulza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Samahani jamani ambaye anajua PIN za internet setting za airtell kwa ajili ya kukamilishia instalmwnt ya conf.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jamani natumia samsung galaxy grand 2(SM-G7102) naomba munielekeza namna ya kupiga screenshoot sababu hii nahisi kama kuna utofauti na hzo zingine nilizowah kutumia.....ahsanteni wapendwa!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
naombeni msaada simu yangu inajiwasha wi fi na data connection. nini tatizo?
0 Reactions
10 Replies
1K Views
heshima kwenu waungwana. naomba msaada mwenye kujua mahali wanakouza kilo cha HTC ONE MINI PAMOJA NA CHASES.
0 Reactions
0 Replies
613 Views
msaada simu yangu hyo haina WCDMA bali ina TD-WCDMA basi 3g haisomi hata kidogo jpo GSM inasoma, tatizo itakuwa ni huo utofaut wa networks ama, picha yake inafuata kuhusu informations za simu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba msaada wa namna ya kuifanya Memory Card iwe internal memory. Nimebaini kuwa simu yangu (Xperia) ina internal storage ndogo (1.82GB). Cha kushangaza kuna sehemu imeandikwa total space...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kwa nini wi-fi na data connection inajiwasha yenyewe? msaada wa kuizima
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nina simu aina ya samsung galaxy s4, tatizo ni kila nikitaka ku sign in google accont ili niweze kudownload applocation mbalimbali, inasoma kwa muda halafu inarudi mwanzo nashindwa kuendelea...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu samahani sana nahitaji app nzuri ya kuchora katuni
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom