Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Diploma in electronics and telecommunication imeshaanza ?.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za jumapili ndugu,natumaini mu wazima Simu tajwa hapo juu,inaleta tatzo la kutokucharge tangu nilipoiupgrade to version 5.kwan nikichomeka kwenye charge inazima ghafla na kuonesha white...
0 Reactions
0 Replies
692 Views
Nataka kuflash modem yangu ya tigo ili ikubali line zote kwa mkoa wa Dar
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa kuna simu ya mdogo angu ,nokia x2 haingizi sms (text sms) na pia memory card inasoma lakini, Ukitaka kuifungua ina andika formart. Ukiformat na ukitaka kuingia tena inandika...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
wakuu nigependa kujua speed ya computer inategemea vitu gani kwenye computer na je arrangement ya proccesor na ram ina affect vipi spidi ya computer
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nimekuwa nikitumia sim ya huawei y330 ila sasa nimepata simu ya nokia lumia so naomba msaada njisi ninavyoweza hamisha charts zangu zote toka y330 kwenda lumia shukran
0 Reactions
5 Replies
995 Views
Msaada wa app nzuri ya kuroot android
0 Reactions
7 Replies
602 Views
Mi nipo humanities, pc yangu ilipata mpasuko upande wa pembeni lakini ilikua inafanya kazi kama kawaida. Nikaamua kuipeleka kwa jamaa mmoja tupo naye hapa hapa humanities, lengo langu aniwekee...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wadau wa hili jukwaa, Naomba kufahamishwa kati ya hizi laptop ipi ni bora in terms of performance and battery durability! Macbook Air na Macbook Pro. Chukua Macbook Air. Kimsingi...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Jaman naomben kuuliza je unaweza kuflash simu bila kutumia box ukatumia pc na usb tu je ni progam gan inatumika? Na inapatikanaje nuatashukuru wadau kwa anaejua anitext inaitwaje 0785764488
0 Reactions
5 Replies
883 Views
Poleni na majukumu mazito mnayokabiliana nayo. Naomba msaada wa software kwa ajili ya kuflash simu tajwa hapo juu. Kuformat kwa njia ya kawaida imeshindikana , naona njia nzuri ni kutumia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana jamii! Nina simu yangu copy ya note 3 inasumbua sana upande wa sms, yaani ninapokuwa naandika inanionyesha sms moja ni herufi 140, sasa nikiwa naandika ikishafikia herufi ya 140 sasa nikitaka...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Hivi ni namba zipi kwenye simu ukizibonyeza zinakulete option ya ku restore sim yako? Kwa anayejua naomba anijuze tafadhali
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Juzi kati nilitoa malalamiko ya kuhusu sipati matangazo Dstv. Nikawafata ofisin kwako hapa Dodoma town, story zimekuwa nyiiingi mara ulipie fundi na mambo kibao. Kiufupi wamenikera. Naomba kama...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wadau nimesikia netflix streaming services inapatikana tanzania ila ningependa kufahamu kama wataanza kurusha filamu za kitanzania kama njia ya kuongeza hamasa kwa watanzania kutumia huduma...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nilikuwa sijatumia simu ya Samsung Galaxy core Plus SM-G350 (Base: G350XXU0ANG4) sijaitumia kwa muda niliiweka tu home. Siku mbili tatu zilizopita nataka kuitumia ikaanza matatizo...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Nina flash yangu 64gb kila nikitaka kuformat haitoi option ya kuformat kwa fat 32 napata zingine only... na pia ukiweka files..... chache za mwanzo zinafanya kazi zingine zinafail....
0 Reactions
1 Replies
535 Views
Kwa kawaida line yenye internet access ukiweka kwenye android itaonyesha h au 3g kwenye network bars lakini nikiweka line ya airtel network bars ziko full lakini haionyeshi h wala 3g yani sipati...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu naomben msaada kuna nokia 2700 classic imepoteza configurelation afu customer care wa mitandao wanababaisha naomben msaada jinsi ya kuinstall hizo setting please.
0 Reactions
33 Replies
23K Views
wakuu tafadhali nilikuwa nahitaji ni jinsi gani ntaweza kuweka picha apa jamii forum kwa kutumia simu yangu
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Back
Top Bottom