In a new article, published in the science journal Nature, researchers propose a paradigm-shifting change in the treatment of wastewater, a shift they say could have a dramatic global impact...
Wakuu naomba kujua SMTP server ya TTCL inaitwaje jamani manake natumia TTCL Broadband huku bush na mara nyingi nimekuwa natumia outlook kwa ajili mawasiliano mbali mbali lakini nina kama wiki tatu...
Naomben msaada wenu kuna jamaa kaiba akaunt yangu ya instagram na kubadilisha info zote kuanzia username, email hadi password.. Karma kuna mtaalamu wa kuweza kunisaidia kuirudisha nitashukuru sana
Wakuu salamu kwenu,
Nikiwa kama mdau wa ICT napenda kufahamu kitu kimoja kuhusu mobile application.
Kwa mtu ama kikundi cha watu wanaomiliki mobile apps zao na kuziupload mfano google store na...
Kuna watu huwa wanatamani kuangalia soccer ligi mbalimbali za ulaya kupitia laptop zao na hawajapata njia rahisi jibu ni hili hapa.
Unachotakiwa kuwanacho ni laptop yako/PC pamoja iwe na huduma ya...
Wakuu hivi karibuni nimenunua window phone,baada ya manzi wangu kung'ang'ania simu yangu ya samsung,nikaamua ku-'experience the difference' kwa kuhamia Window phone kutokana na kwamba mimi nilikua...
GRANEX ENGINEERING WORKS
We are registered engineering work on the following areas:
Services
· Industrial, Commercial and Domestic Electrical maintenance, wiring and Installations
·...
Nataka ninunue hiyo simu, naweza kupata kwa bei gani na iwe original na ni kwenye maduka gani mikoa ya Arusha, Dar es Salaam, Mwanza na Mbeya?
Sababu ya kutaja hiyo mikoa itategemea hiyo siku...
Habari wapendwa, nina shida ya active ballun au cctv amplifier nina project ya kufunga cameras zenye urefu usiopungua 400m. Mwenye nazo kindly inbox me.
Habari zenu wakuu,
Naamini hapa niko jukwaa sahihi la wataalamu wa mambo ya teknolojia tena ya kisasa kabisa.
Naomba kufahamishwa ni vifaa gani(Vya kisasa kwelikweli) muhimu kwa kuanzisha studio...
Ndugu wanaJF, kwa mwenye kuifahamu vyema gari aina tajwa hapo juu anisaidie hasa kuhusu ulaji wa mafuta na uimara wa injini zake ni D4 VVTi ya mwaka 2004, nimeitamani sana.
Ahsanteni.
Habari za leo wakuu, katika pitapita zangu nimeamua kununua hosting ya site yangu, natumia wordpress, kuna template nimenunua ila inanipa shida kuwa extracted mpaka kuwa installed.
kama wewe ni...
WhatsApp inasitisha ada ya michango kwa mwaka (Yearly Subscription fee) kwa huduma yake maarufu ya ujumbe. WhatsApp ilianzisha ada hiyo miaka michache iliyopita, na kulazimisha watumiaji wapya...
Habari wana jamvi,
Mi ni msomaji sana wa vitabu. Na napenda sana kusoma na kusikiliza vitabu, lakini bado sijajua namna ya kudownload audio books. Navihitaji sana. Natanguliza shukran
Habari za usiku huu wakuu?
Naomba ushauri, nataka niwatengenezee wajukuu zangu wawili bomba la maji kwa ajili ya kuwa wanaogea, yani maji yatokee juu kama mabomba haya ya kisasa.
Hapa nina...
Kama kichwa cha habari wakuu natafuta mafundi wa flat tv kwani Nina shida ya card kwenye singsung flat nch 24 natafuta Fundi mwenye nayo tuwasiliane nijue na bei 0752048709
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.