Msaada DSTV kuchakachua.

Msaada DSTV kuchakachua.

Gojaga Nize

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2015
Posts
3,177
Reaction score
2,547
Juzi kati nilitoa malalamiko ya kuhusu sipati matangazo Dstv. Nikawafata ofisin kwako hapa Dodoma town, story zimekuwa nyiiingi mara ulipie fundi na mambo kibao. Kiufupi wamenikera.

Naomba kama kuna mtaalam anaweza kunielekeza jinsi ya kufanya settings kupitia hiki king'amzi niwe napokea tv kwa njia ya settelite za kawaida.

Asante kwa msaada wako!
 
haiwezekani mkuu,ushauri nunua mpg4 yenye uwezo wa power vu kamwe hutaikumbuka dstv
 
Mbona kimya wakati watu tunasubiri bei ya hyo mpg4 kwanza nddio nn hyo....,
 
Back
Top Bottom