Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Hello guys.. Naomba kuuliza, Katika technology ya kileo kuna uwezekano wowote wa kubadirisha video zilizo katika mfumo wa VHS (yaan ile mikanda ya kizamani) kwenda katka mfumo wa CD au DvD...?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za leo waungwana! Kama kichwa cha habari kijielezavyo hapo juu, nahitaji msaada wa mwenye kujua kama kuna teknojia ya kubadilisha video zilizomo katika tape za VHS na kwenda katika DVD...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
naombeni jaman mwenye kujua link nzuri ili niweze kupakua philipino movies
0 Reactions
0 Replies
956 Views
Twitter ni mtandao wa kijamii wa pili kwa ukubwa duniani. Maarufu kwa meseji zake zenye maneno 140 tuu zinazojulikana kama ‘Tweets'. Twitter ilianzishwa mwezi Machi 2006 na katika kipindi...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
naomba msaada wa ku-unlock mordem ya vodacom;huawei E303
0 Reactions
7 Replies
602 Views
Nina laptop yangu aina ya Toshiba satellite betri lake limeharibika siku c nyingi kwahiyo natumia moja kwa moja toka kwenye umeme. Sasa hivi imekuja na tatizo jipya ambalo ni kuzima ghafla lakini...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Nina Laptop aina ya hp compaq 6720s nikiplug charger pale kwenye tundu la kuwekea panawaka kama vicheche nikijaribu kuwasha haiwaki nisaidieni sijui tatizo Na nifanye nini?
0 Reactions
1 Replies
741 Views
wakuu msaada wenu unahitajika nime nunua domain nahitaji kuitumia kwenye blog yangu ni fanyaje ili niitumie badala ya url ya google blog
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina Lumia 520. Hii Simu Ina matatizo kadhaa. 1. Nikiweka line ya airtel haisomi 3G licha ya kuweka maximum speed katika settings kuwa 3G. Huku kwa mitandao engine with same settings simu...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Nahitaji msaada kuhusu hii "app runtime for chrome", ni kitu gani na ufanyaji kazi wake ukoje etc. Nimeiona kwenye thread flani hivi ila sijaielewa. Nataka kutumia Whatsapp kwenye PC yenye CPU ya...
0 Reactions
4 Replies
828 Views
Habari wakuu, naomba msaada kwa anayejua code ya kusoma bar code au QR code kwa kutumia either PHP au JAVA.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natumia r5 tecno zaman havikuwepo hivi vitu..(timeservice na monkeytest), nini chanzo chake na je hutolewaje. Natangulza shukran
1 Reactions
7 Replies
2K Views
guys naombeni msaada mwenye biss key ya channel ya champion tv
0 Reactions
1 Replies
959 Views
It looks like Samsung is determined to win back some of its fans that have decided to keep their older flagship smartphones instead of upgrading to Galaxy S6 due to the lack of features like...
2 Reactions
28 Replies
5K Views
Wakuu habari za jioni. Kuna simu hapa ina tatizo tajwa hapo juu kwamba data ikiwashwa haiungi(connect), haioneshi vile 'vimshale' vinavyoashiria imekuwa connected! Lakini ukiunga Wi-Fi/hotspot...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Nina simu ya samsung note2 N7100; jioni hii imeanza mazinga umbwe, awali ya yote natumia line ya voda. Sasa ghafla inaniambia (selected network vodacom unavailable) na siwezi kupiga simu wala...
0 Reactions
1 Replies
698 Views
Nikitaka kusave jina ,au kutafuta jina nipige ,simu yangu smartphone huawei inaandika hivyo "unfortunately,your contacts has stoped"halafu inastop kweli..wenye uzoefu msaada
0 Reactions
4 Replies
899 Views
Habari yenu ndg wa jukwaa hili. Jamani anombeni sn msaada kwa wenye ufahamu juu ya namna ya kupata history ya kazi zote zilizofanywa ktk photocopy mashine. Yaani kujua idadi ya copy pages and...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari, Madhumuni ya uzi huu ni kukutanisha wana telecom wote kwa habari,uchambuzi na chochote kile kinachohusiana na field hii. Karibuni
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari wanajukwaa , Natumaini mi wazima WA afya njema na mwaendelea na majukumu ya kila siku .Najitokeza kwenu kuuliza je kwa yeyote yule anayeweza nisaidia kujua kua nitapatawapi simu ya...
0 Reactions
4 Replies
958 Views
Back
Top Bottom