Namba zipi ukibonyeza kwenye simu, unapata option ya restore?

Namba zipi ukibonyeza kwenye simu, unapata option ya restore?

cleokippo

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2014
Posts
2,143
Reaction score
1,840
Hivi ni namba zipi kwenye simu ukizibonyeza zinakulete option ya ku restore sim yako? Kwa anayejua naomba anijuze tafadhali
 
Ni namba zipi ukibonyeza kwenye simu, inatokea option ya ku-restore?
 
Sidhani kama kuna namba za kubonyeza zaidi ya kwenda hatua kwa hatua mpaka unaifikia option ya restore your device.
 
Hivi ni namba zipi kwenye simu ukizibonyeza zinakulete option ya ku restore sim yako? Kwa anayejua naomba anijuze tafadhali
ni ngumu kutumia namba. lakini kama utakuwa unatumia cm smaltphone yoyote basi itakuwa rahisi ku- restor au kuifrash. Izime kwanza cm yako, kisha bonyeza kwa pamoja button ya kuwashia cm pamoja na button ya kuongezea sauti, cm itawaka then fuata maelekezo itakayoyatoa ili ui restor au kufrash cm yako.
 
Inategemea na aina ya simu.

Jaribu *#7370#
 
Back
Top Bottom