Natumia QSat 15 G nilikuwa napa na kuona vituo kadha vya TV hapa Tz kupitia Satellite ya Amos 2,3 lakini ghafla ina niambia No Service. Shida ni nini? Je! Wamehama tena?
Chonde chonde.Nisaidieni...
Habari za week end wadau wa JF Tech? Niende kwenye point moja kwa moja, nilipata notification ya availability ya windows 10 kwa PC yangu ambayo ni HP 635. Niliweka bando ya kutosha na kupakua...
kwa wataalamu wa kufunga madish naomba kuuliza..nawezaje kupata hotbird satelite hapa dar es salaam?..ningependa kujua ni dish ukubwa gani na lnb type gani inayohusika niweze kuikamatata hii...
PC yangu kila nikiiwasha inapofikia sehemu ya starting window inastack hapo/ ina-freeze muda mrefu sana na Mara nyingine inaniletea startup repair.
Sasa sijui shida nini kwa anayefahamu anifahamishe.
kompyuta yangu inaonyesha maicon makubwa na chenga chenga nyingi tofauti na ilivyokua mwanzo je nipige window mpya au ni install driver za vga au nifanye nini ili ikae sawa
Wakuu natumia hTc rezound(verizon)
Siku za hivi karibuni imegeuka kero ina adds za kutosha kila dk mbili linatokea tangazo halafu ni unstoppable,nifanyaje ili niweze kuisafisha simu irudi kama...
Heshima yenu wakuu. Naomba msaada jinsi ya kuwezesha simu yangu iwe na uwezo wa kupata internet. Natumia mtandao wa tigo na simu ni aina ya Samsung GT-S7500.......Nimejaribu kupiga customer care...
Kwa sasa kuna matatizo kwenye hizi decorders, lakini unaweza kupata almost chanel 22 .
Nenda CHANNEL MANAGER--> NIT SEARCH weka frequency ya 482K
Then search.
Chanell zinazopatikana;
Chanel...
Sikuiz kuna ATM kadi tofaut tofaut kuna ATM kadi zimeandikwa, MASTER CARD, VISA na zingne zipo normal hizana hayo majina mfano CRDB now wana master card na visa. NMB nao saiv wana master card...
Binadamu anajifanya mjanja na kumbe si mjanja kabisa. Watu wengi ni wazembe sana inapokuja kutumia password mtandaoni na sehemu mbalimbali. Utakuta mtu anarudia password yake ileile au hata...
Wakuu, asanteni kwa msaada wenu katika teknolojia.
Nimekwama sehemu na nikaona hapa naweza pata msaada wa haraka.
Ninahitaji kuanza kujifunza kutengeneza magazine, na nimefuatilia kwenye mtandao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.