katika mwaka uliopita iphone walikuwa wanatumia mfumo wa kawaida wa kuweka earphone lakini tetezi zinazosikika saizi ni kuwa wanataka kutoka iphone 7 mwishoni mwa mwaka ikiwa haina sehemu ya...
Habari wana jf!
Kwa mtu mwenye uzoefu wa power bank za kuchajia simu naomba kusaidiwa! ni mAh ngapi ndio nzuri na inauwezo mkubwa wa kuchaji simu hata mara 4 ikiwa simu haina chaji kabisaa...
Amani iwe juu yenu wana jf.
Hivi karibuni nmejiunga na mtandao wa Halotel. Lakini bado sijajua bandle unajiunga vipi. Haswa unlimited za Internet. Kwa anaejua tafadhal naomba anijuilishe.
Thanks...
Wadau,
nina tatizo, jana ''nili-restore to factory settings'' iPhone 6 plus, nilimaliza wakati nafanya set up ikahitaji password ya account ya iCloud, kwa kweli mwenye simu hakumbuki password...
Wakuu natumia tecno phantom A3 (M9) na kama zilivo zingine ina laini 2. Tatizo ni kuwa laini 2 ambayo ni.ndogo haisomi data. Niliweka airtel nikawa natumia kwenye net kwenye hiyo laini 2 ila baada...
Simu yangu huawei,karibu kila wiki inaji_restart ikiwaka inataka nifanye factory reset,reboot au backup,kitu kinachonogharimu kudown load upp zote upya,hali hii inatokea hata kama nikiondoa...
Kompyuta yangu Dell D620.
Nilii Factory reset .Ilipofika 20% ikiisntall windows updates Chaji ikakata na kuzimika.Nilipoiwasha inaonyesha IKO 64% .inawaka na kujizima kwa kuendelea.
Sasa...
Hii simu inasapoti 4G lakini tigo wanasema haisapoti, baada yakuwa onyeshea kuwa inasapoti wanadai iko nje ya frequency zao za 4G kwa maana hiyo haita kubali,
Wanadai ingekuwa Samsung au huawei...
Wadau wa jukwaa hili habari,
Nina itel1702 prime11 ambayo kwa kustukiza tu naona ile notification bar na ile sehemu ya juu kama haisensi hivi maana kila nikitouch kitu kilichoko eneo hilo inakua...
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nina simu yangu ya itel 1503 yenye version ya kitkat nataka iwe na lollipop version, nimeshairoot tayari.
So kwa mtaalam yoyote wa mambo haya aliyepo Dodoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.