Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

km heading ilivyojieleza tafadhal naomba msaada
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana JF, Nina uzoefu kwenye field ya Fleet tracking na Fleet management, huduma ya kufunga tracking devices kwenye magari na pikipiki imekuwa kwa kiasi kikubwa sana hapa Tanzania kwa miaka...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Hili tatzo huwa linajirudia rudia kwe simu yangu, msaada.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Msaada wa software inayoweza ku download video you tube nilikua natumia YTD VIDEO Downloader imezungua
0 Reactions
2 Replies
993 Views
Habari za humu ndani wadau!Ninaomba msaada kwa anayejua jinsi ya ku unlock hiyo simu.IMEI number 355166/05/761656/7.Asanteni
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau habarini humu, Nna tatizo kishumbusi changu cha continental hakionyeshi channel yoyote zaidi ya star guide. Mwenye frqnce mpya kama zipo anipatie tafadhali. Ahsanteni
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za muda huu wadau wa JF. Mim ni programmer, napenda kuprogram programs. Naombeni ideas za title za project ambazo nikifanya implementation inaweza kunitoa kimaisha. Ushauri wako ni muhimu...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Pc yangu Hp compaq ina tatizo... nikiwasha inawaka lakini screen inabaki black, nimejaribu kuconnect na external monitor labda kama tatizo ni screen ya pc lakini bado haikudisplay kitu...pia...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Jman wana jf natmia sim bravoz kibaya nikwamba sim no ¹ lazima iwe Airtel sasa nataka nitumie line zote
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Msaada Diploma in electronics and telecommunication. imeanza ATC ?.mwezi gani naweza kutuma Maombi ?
0 Reactions
1 Replies
836 Views
jaman iphone 5s yangu haitumi sms nikiweka line yangu ya voda, lakin nikiweka line zingine inatuma na hii line ya voda nikiweka kwa simu nyingine inatuma, nini tatizo?
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wakuu hivi hii company ya TPS iliyoko Shekilango mkono wa kulia kama unaenda Big brother inahusika na nini?. Mule ndani naona wamejaa baadhi ya wachina,sasa najiuliza hii compuny ni nani mmiliki...
0 Reactions
0 Replies
766 Views
Nina simu tajwa hapo juu, ina-restart kila baada ya masaa mawili. Ni mpya inafanya hivi tangia niinunue. Kama mtu anajua namna ya kusolve hili tatizo anisaidie. Vitu vingine inafanya vizuri tu.
0 Reactions
44 Replies
9K Views
Hey guys. Leo nimeshangaa kukutana na 'BLOCK' kwenye watssap call. Jumapili ya wiki iliyopita nilitumia na ilikuwa inafanya kazi vizuri kabisa, ila leo nimeshngaa kuambiwa kwamba "Your mobile...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Guys..toto wangu ex form4.. looking for a tutor for beginners course for archicad.. any suggestion.. Shud be able kufundisha mtaa wa nkrumah
0 Reactions
1 Replies
758 Views
Wadau, naulizia hivi ile video game ya mpira ya pro evolution soccer ya 2015 au 2016 inauzwa bei gani!
0 Reactions
30 Replies
10K Views
Salaam kwenu. Nimepokea link toka kwa ndugu yangu kuhusiana na Whatsapp + then wanataka sjui uwatumie watu 10 n.k Sasa kama kuna aliyejaribu na akafanikiwa tunaombe atupatie mrejesho tafadhali...
0 Reactions
2 Replies
933 Views
Nahitaji msaada wa input & output voltages na SAWG ya waya kwa welding machine ndogo .... Kwa ufupi nahitaji mwongozo na requirements zote.. Asanten
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta mtaalam wa simple template ambayo matangazo ya adsense hayatapotea tuwasiliane Pm vizuri zaidi ukanitumia na baadhi yatemplate ambazo ushatengeza Natanguliza Asante
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naombeni msaada jinsi ya ku unlock Huawei y330 ya tigo 3G isome line zote. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom