Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Naombeni msaada jinsi ya ku unlock Huawei y330 ya tigo 3G isome line zote. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jamvi.. Leo Mamlaka ya mawasiliano (TCRA)imetangaza kuzima au kutoziwezesha simu ambazo hazina ubora kufanya kazi hapa tanzania,na zoezi hilo litaanza baada ya miezi sita kuanzia...
0 Reactions
34 Replies
15K Views
Habari, nimetengeneza video hii kuonesha japo kwa Ufupi, namna ya kutengeneza malazi kwa kutumia kontena (shipping container) la futi 40.Kwa hapa nimetumia wakazi kama ni wanafunzi. Hii hapa;
1 Reactions
13 Replies
5K Views
nataka kuongeza followers nielekezeni namna ya kulipia wadau
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu, nimetumiwa simu aina ya samsung, model number SGH-T139, IMEI number yake ni 012404/00/065516/7 kutoka CANADA, tatizo ni kwamba haishiki network za hapa bongo. Naomba kwa anayefahamu...
0 Reactions
7 Replies
10K Views
Nahitaji laptop mojawapo kati ya hizi: 1.) Dell inspiron 17 (also written as: Inspiron 17-5748 au i5748 ) 2.) Inspiron 17R (also written as: inspiron 5721 ) 3.) Dell latitude E5550 4.) Hp...
0 Reactions
0 Replies
723 Views
Hivi unawezaje kudownload movies mpya kupitia cm
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nalitaka kuangalia tv live kupitia cm yangu na nimesha download kodi kama maelezo yako yalivyosema, sasanaona inaniletea kitu kama iko ivyo sielewi nijaze nn! media centre, adress, port, user name...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu! Mimi ni mtanzania niliefadhiliwa kwenda kusoma Iran, program DOCTOR OF MEDICINE. Kwa nyie mnavyoijua Iran,mungenishauri niende au niikache mana sina aidia yoyote kuhusu Iran.
0 Reactions
112 Replies
8K Views
All Android Secret Codes here: * # * # 4636 # * # * Code that shows some information about your phone and battery of the same* it appears to enter 4 menus on screen: * Phone information *...
2 Reactions
17 Replies
10K Views
Wakuu salama, Naomba msaada wenu wa haraka kuweza kupata hiyo simu yangu nimeibiwa muda mfupi tu Polisi nimeshatoa taarifa, kwa sasa ukiipiga haiiti tena kama imezimwa, naomba taratibu za...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
msaada jinsi ya kutumia internet bure kwa laini yoyote bila kulipia.....bandle zimepanda bei MB kidogo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau habari zenu, mimi nina shida moja napenda kuangalia mpira, shida ni kujua kingamuzi gani cha bei nafuu nijiunge ili niweze kupata Chanel nzuri za mpira na movie tofauti na dstv au cable gan...
0 Reactions
6 Replies
46K Views
Jamani mimi ni blogger, na nimejisajili adsense. Cha ajabu wameshanikubalia lakini tatizo sipati matangazo, na ninatumia template nzuri, yaani v2. Hapo mwanzo niliwahi kuwa na adsense account...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hey guys kwa wale wanaopenda fifa14. Gameplay,new teams, classic and all star teams,new boots , even u can make ur own patch... ingia ModdingWay - PES 2014, FIFA 14, NBA 2K14, FIFA 13, PES 2013...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hi guys! N brand gan ya jiko la gesi ni bora zaidi??
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari wataalamu.. Nina swala moja muhimu chini ya meza... Kuna simu inaitwa iPhone ukitaka ku 'update' software unaweza ukatumia wi-fi kupitia simu au ukatumia iTunes. Swali langu ni ile simu...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Hawa jamaa wa cloudstv wamezindua channel Yao kwenye dstv wanasema itapatikana Africa yote hii imekaaje wadau naona kama kuna kamchezo hapo maana channel zote za e.africa huwa azionekani s.a...
0 Reactions
0 Replies
762 Views
na2mia Nokia 1320 window phone.... Nna shda ya kuupdate hii vision ya window nashindwa wanapo npa option moja 2 ya ku2mia WI-FI na sio MOBILE DATA.nashindwa hapo msaada tafadhali kw mweny kufaham...
0 Reactions
2 Replies
850 Views
I just wanted to see what sat I would get when l added this lnb to the western side of Astra 28.?°E and got Record Mozambique only and a score of empty TP's. Could this be 7° E?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom