Rejea kichwa cha habari hapo juu , Tablet yangu internal storage ni 16 GB , Space niliyotumia kuhifadhi data ni 4 GB. Lakini kitu cha kushangazi kila nikifungua data naletewa Ujumbe kuwa "Data...
Wakuu naombeni msaada wa kuweza kupata touch ya simu tajwa hapo juu,nimezunguka kariakoo nimekosa. Je kuna touch ya simu ya aina nyengine inayoweza kuingiliana nayo? maana nashindwa kutumia simu yangu
Mcheza gemu mmoja mwenye miaka 28 kutoka Siberia ameishttaki kampuni ya Bethesda kwa kulifanya gemu lao la Fallout 4 limtawale mpaka apoteze kazi yake na pia mpenzi wake (mke)
Mwanaume huyo...
Natumia tecno J5,mwanzo ilikua iina'connect' internet vizuri,lakini baadae ikaanza kusumbua na kuanza kutoconnect internet vizuri,yaani inaconnect Edge tu.Pia sio internet tu,Bali hata mtandao wa...
wadau leo window yangu ime corrupt sasa nikawa napiga window nyingine kwa kutumia CD kila ikifa asilimia 95 au 93 inagoma kabisa inasema there some file missing contact the vendor pleas msaada...
Jamani anayeelewa jinsi ya kuscreenshot kwakutumiaa galaxy J1 ace anisaidieeee maaana nimejaribu nimeshindwaaa yani Imekua tofauti na nilivyokuaaa nascreenshot kwenye Huawei
Wadau wa JF naomba mnifahamishe,nataka kununua video camera yenye uwezo na ubora wa hali ya juu na ya kisasa, lakini sifahamu ni aina gani nzuri,anayejua tafadhali anijuze nisije nunua ambayo...
Habari wadau wa jukwaa hili,Nina PC aina ya HP.sasa hii PC nlimwazima jamaa Jamaa angu kwa muda wa takriban mwez 1,sasa ilivorudi nimekumbana ma tatizo hili,nikwamba ukiconect na charger inafanya...
Naombeni msaada tafadhali namna ya kusearch na kuinstall frequency za radio kwenye television ili niweze kusikiliza radio kwa kutumia satelite dish
kupitia TV.
Natumia dekoda ya star times...
Hellow wakuu!
Nimekwama mahala kidogo kuna kitu najaribu kujifunza katika serialPort programming na GSM hacking!
I can arleady communicate na Modem vizuri tu na naweza ku send some AT Commands...
Habari zenu waungwana!
Kichwa cha habari hapo juu chahusika sana.
Ninatumia TECNO L6, MediaTeck (MT6582), Android 4.4.2.
Nahitaji kubadilisha ROM kutoka Stock kwenda Custom ROM zenye higher...
Habar zenu waungwana?
Kama kichwa hapo juu shida yangu ni juu ya camera ya laptop yangu nnapotaka kuitumia inanletea ujumbe huu (screenshot attachment)
Nini tatizo na ufumbuzi wake?
Wadau nauza Router (Mi-Fi/Wi-Fi) sharing yake ni Up to 10 people pia ni 3G bei ni 80,000 Ni Universal (Line yoyote Unaweka)
Wasiliana nami Kupitia 0719358764.
Habari zenu wakuu?
Kadiri siku zinavyokwenda na teknolojia nayo inakuwa kwa kasi kubwa sana so nimeona nitumie uwanja huu kupata na kujuzwa kwa kina kidogo kwa hili linalonitatiza
nalo kabla...
Microsoft is reaching out to Linux developers in a way that the company never has before. "The Bash shell is coming to Windows. Yes, the real Bash is coming to Windows," said Microsoft's Kevin...
Samsung note 2 nikipiga simu (voice call)simsikii mtu wala yeye anisikii ila nikipiga video call tunasikilizana vizuri kabisa!! What is the problem hapo???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.