Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Rejea kichwa cha habari hapo juu , Tablet yangu internal storage ni 16 GB , Space niliyotumia kuhifadhi data ni 4 GB. Lakini kitu cha kushangazi kila nikifungua data naletewa Ujumbe kuwa "Data...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu....msaada wa kupata universal drivers za win8 ambazo resolution yake itazidi zaidi ya 1366x768. Nawasilisha. Msaada wenu tafadhali
0 Reactions
2 Replies
941 Views
Brb!nilipenda hua tofauti Kati ya CMS na WCMS na zinafanyaje kazi .
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu naombeni msaada wa kuweza kupata touch ya simu tajwa hapo juu,nimezunguka kariakoo nimekosa. Je kuna touch ya simu ya aina nyengine inayoweza kuingiliana nayo? maana nashindwa kutumia simu yangu
0 Reactions
0 Replies
936 Views
Mcheza gemu mmoja mwenye miaka 28 kutoka Siberia ameishttaki kampuni ya Bethesda kwa kulifanya gemu lao la Fallout 4 limtawale mpaka apoteze kazi yake na pia mpenzi wake (mke) Mwanaume huyo...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Natumia tecno J5,mwanzo ilikua iina'connect' internet vizuri,lakini baadae ikaanza kusumbua na kuanza kutoconnect internet vizuri,yaani inaconnect Edge tu.Pia sio internet tu,Bali hata mtandao wa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
wadau leo window yangu ime corrupt sasa nikawa napiga window nyingine kwa kutumia CD kila ikifa asilimia 95 au 93 inagoma kabisa inasema there some file missing contact the vendor pleas msaada...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Jamani anayeelewa jinsi ya kuscreenshot kwakutumiaa galaxy J1 ace anisaidieeee maaana nimejaribu nimeshindwaaa yani Imekua tofauti na nilivyokuaaa nascreenshot kwenye Huawei
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau wa JF naomba mnifahamishe,nataka kununua video camera yenye uwezo na ubora wa hali ya juu na ya kisasa, lakini sifahamu ni aina gani nzuri,anayejua tafadhali anijuze nisije nunua ambayo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wadau wa jukwaa hili,Nina PC aina ya HP.sasa hii PC nlimwazima jamaa Jamaa angu kwa muda wa takriban mwez 1,sasa ilivorudi nimekumbana ma tatizo hili,nikwamba ukiconect na charger inafanya...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Inaniambia imebakisha siku nane.naomba mwenye hizo keys au namna ya kuicrack isinisumbue tena anisaidie.natanguliza shukran.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naombeni msaada tafadhali namna ya kusearch na kuinstall frequency za radio kwenye television ili niweze kusikiliza radio kwa kutumia satelite dish kupitia TV. Natumia dekoda ya star times...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hellow wakuu! Nimekwama mahala kidogo kuna kitu najaribu kujifunza katika serialPort programming na GSM hacking! I can arleady communicate na Modem vizuri tu na naweza ku send some AT Commands...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Simu tajwa hapo juu kila muda inasoma E, mtandao mpk usiku saa 6 ndiyo inasoma 3G msaada km inaweza kusoma 3G.
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Habari zenu waungwana! Kichwa cha habari hapo juu chahusika sana. Ninatumia TECNO L6, MediaTeck (MT6582), Android 4.4.2. Nahitaji kubadilisha ROM kutoka Stock kwenda Custom ROM zenye higher...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habar zenu waungwana? Kama kichwa hapo juu shida yangu ni juu ya camera ya laptop yangu nnapotaka kuitumia inanletea ujumbe huu (screenshot attachment) Nini tatizo na ufumbuzi wake?
0 Reactions
2 Replies
881 Views
Wadau nauza Router (Mi-Fi/Wi-Fi) sharing yake ni Up to 10 people pia ni 3G bei ni 80,000 Ni Universal (Line yoyote Unaweka) Wasiliana nami Kupitia 0719358764.
0 Reactions
0 Replies
960 Views
Habari zenu wakuu? Kadiri siku zinavyokwenda na teknolojia nayo inakuwa kwa kasi kubwa sana so nimeona nitumie uwanja huu kupata na kujuzwa kwa kina kidogo kwa hili linalonitatiza nalo kabla...
0 Reactions
26 Replies
10K Views
Microsoft is reaching out to Linux developers in a way that the company never has before. "The Bash shell is coming to Windows. Yes, the real Bash is coming to Windows," said Microsoft's Kevin...
1 Reactions
30 Replies
2K Views
Samsung note 2 nikipiga simu (voice call)simsikii mtu wala yeye anisikii ila nikipiga video call tunasikilizana vizuri kabisa!! What is the problem hapo???
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom