Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Niko na lg g2 ina tatizo ambalo hutokea mara mojamoja yan hujibonyeza wenyewe frequently na hili tatizo likitokea hukaa kwa masaa kadhaa then huacha likiacha simu hua fresh mpaka litakapokuja...
0 Reactions
0 Replies
667 Views
Hellow guys, habari zenu wana JF, Jamani nimekuwa interested sana kujifunza masuala ya video editing na masuala mengine yanahusiana na designing, So naomba kufahamu kama kuna short course yeyote...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Nahitaji kuflash simu aina ya huawei y330-u11. Nifanyeje?????
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nombeni mnisaidie nikiwasha haiwaki hadi mwisho inaishia kuandika (www.apple.com/support/ipod) Imeanza ghafla tu
0 Reactions
1 Replies
817 Views
Habari wadau! Nina flat screen yangu sijaitumia kwa muda wa miezi sita hivi nilikuwa nimesafari. Sasa jana nimerudi getto kuwasha hivi naona ukungu kwa ndani na picha wala haionekani vizuri...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Naomba msaada wa ku unlock vodafone modem model k3570-z
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Naomba kujua modem za tigo 4G zinapatikana kwa bei gani??
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanajanvi Naombeni kuwauliza n program ipo nzuri kwa kutengeneza Animation/ cartoon, naombeni ushauri ahsanten
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Haifungui picha whatsapp wala kudownload video naomba msaada nifanyeje ili ipige kazi?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani naomba kuuliza hivi hizo plugin kama vdtube25 nazi download vipi Naombeni msaada... #Chief mkwawa #mwl.RCT
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kwa anayehitaj anitafute 0757247723 Tegeta nyuki ndo napatikana
0 Reactions
0 Replies
769 Views
Ndiyo..natamani sana kujifunza kuchora au kubuni animation especially cartons kwa ajili ya magazine hapo mbeleni. Yeyote mwenye ujuzi na haya mambo anipe details na ikiwezekana contacts tujue...
0 Reactions
3 Replies
993 Views
Leo matangazo ya Azam morogoro hayapatikani,cjui tatizo nini
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau naomba mnisaidie nataka kuangalia mpira online kwa kutumia simu je niwe na mb ngap kuweza kuangalia mwanzo mwisho
0 Reactions
0 Replies
682 Views
Habari zenu wana jamii forum? Nina simu ambayo nilitumiwa toka America, inawaka na kufanya shughuli zote za internet kwa kutumia wi-fi ila nashindwa kuitumia kwa mawasiliano kwani inashindikana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natumia galaxy j1 ace but nataka kujua maaana ya kuroot simu then kama ntaona inafaida nitairoot na hii Yangu.please wakina Chief mkwawa na wataalamu wengine nitoeni ushamba
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habar wadau... Flash yang ya 16 gb ghafla tu nikiweka kwa pc inanulza kuformat..niki format inagoma...inanambia "insert disc in a drive.." (haina phyaical damage yyote wala kuloa)
0 Reactions
2 Replies
605 Views
Nina ka pc flan iv nimejaribu kusearch ili ni activate ili niweze kufurahia Internet nimerajibu nimeshindwa je kuna option nyingine ya kuwasha Wi-Fi kwa kutumia keyboard maana ninaona icon...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Nimenunua laini mpya ya halotel nimefika nyumbani Internet haiendi nimegundua kwamba sehemu ya kujaza APN ipo wazi. Naomba mnisaidie jinsi ya kujaza.
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu , Tablet yangu internal storage ni 16 GB , Space niliyotumia kuhifadhi data ni 4 GB. Lakini kitu cha kushangazi kila nikifungua data naletewa Ujumbe kuwa "Data...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom