Msaada tutani.

Msaada tutani.

Clever Gk

Member
Joined
Aug 13, 2015
Posts
39
Reaction score
6
Habar zenu waungwana?
Kama kichwa hapo juu shida yangu ni juu ya camera ya laptop yangu nnapotaka kuitumia inanletea ujumbe huu (screenshot attachment)
Nini tatizo na ufumbuzi wake?
1459521894544.jpg
 
Habar zenu waungwana?
Kama kichwa hapo juu shida yangu ni juu ya camera ya laptop yangu nnapotaka kuitumia inanletea ujumbe huu (screenshot attachment)
Nini tatizo na ufumbuzi wake?View attachment 334055

Hakikisha driver za camera zipo vizuri, uninstall hiyo youcam na uirudishie upya. Angalia kwa makini wakati una install kama kuna file zina miss
 
Back
Top Bottom