Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

habarini za asubi wadau, Kuna project naifanya ikiwa kwenye localhost inafanya kazi vizur tatzo ni kwenye free webserver ambako wanatumia php 5.4 na mimi kwenywe localhost nilitumia php 5.6...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu, nimeapdate Window 8 kwenda 8.1 kwa njia ya mtandao, sasa nimeshindwa kupata activation code, naomba msaada
0 Reactions
7 Replies
5K Views
niko mkoa wa kilimanjaro marangu naomba msaada wa kufunga kingamuzi cha azam nataka nifanye mwenyewe bila fundi
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu nahitaji ku shoot video live na kuionesha hapo hapo ukumbini kwa kutumia project nitumie camera gani ambao itatuma data wireless ktk projector nahitaji kushoot na kudisplay event bila nyaya
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za wakati huu ndugu. Naombeni wale wataalamu wa laptop watupe elimu kuhusu namna ya kutambua laptop feki iwe dell, hp. toshiba n.k nimekua nikifatilia sana kwa ukaribu lakini sijafanikiwa...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Unaweza kuangalia hapa Channel 9: Videos about the people building Microsoft Products and Services kama una budle ya kutosha.
0 Reactions
0 Replies
746 Views
Heshima kwenu wadau jaman naomba msaada kujua hii kitu podcast studio inafanya kaz kwa style zip na mtu anawezaje kutengeneza pesa ktk hii podcast... Ahsante sana
0 Reactions
0 Replies
773 Views
Wakuu nina tecno y 3 ningependa nii flash but nimeenda duka la tecno nikaambiwa i need to tell them issue nyngine yeyote ndo wa i flash je matatzo gani hutibiwa kwa kuflash cmu??
2 Reactions
1 Replies
580 Views
wadau mimi nilikuwa naomba mnifahamishe bei ya broadband kwa mwezi huko nyumbani (kwa matumizi ya kwenye nyumba). nataka kujua bei kwa mwezi, speed yake ikoje, kama ni fibre optic au normal...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Moja katika maswali mengi ambayo watu wanajiuliza kutoka katika logo ya Apple ni kwamba kwa nini logo hiyo imeng’atwa upande mmoja? Moja kati ya sifa kubwa katika kampuni la Apple ni kuwa na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu. Kugawana ni kujali. Ofisi nyingi huwa na data kwenye excell wanahitaji wahamishie kwenye other program ikiwemo tally, vip payroll na pastel.leo nitawafunza. 1. Fungua program eneo la...
3 Reactions
0 Replies
1K Views
Samahani naomba msaada process za kuflash samsung nexus S GT-I9020A kwa computer
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wizara ya Sheria ya Marekani inasema imefanikiwa kuzisoma data zilizohifadhiwa kwenye Simu ya iPhone mali ya mmoja wa walipuaji katika tukio la mauaji la San Bernardino na kutangaza kuacha mpango...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa nini Tab 4 nikiweka chaji inaonyesha alama ya X na wakati mwingine inachaji fresh tu. Msaada kwa anayefahamu.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nilitaka kuinstall App mpya kwenye simu yangu ila kila nikijaribu inaniandikia "insufficient storage" nikajaribu kufuta App moja nikajaribu kuinstall tena ikagoma. Nikafuta nyingine bado ikagoma...
0 Reactions
0 Replies
881 Views
Instagram rolls out 60-second videos starting Tue 29 Mar..Instagram announced on Tuesday that it will soon begin rolling out 60-second video capabilities for its users.
0 Reactions
0 Replies
623 Views
Wakuu habari za saiz juzi kuna mzigo wa simu umetumwa toka nje kuna wateja wawili wamezingua mmoja ni Sony Xperia z2 mwingine Samsung Galaxy A5. Kati ya simu zote hizo ipi ni bora nimpe mdogo...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Tatizo hili limetokana na kusafirisha hii monitor kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine sasa nadhan ile mitikisiko ya basi tulilokuwa tunasafiria imesababisha kioo cha hii monitor kucrack hadi wino...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Wadaunaomba mnijuze ni kwa njia gani naweza kuremove vocal kutoka kwenye wimbo na kubakiwa na beat??? Kama kuna software ni software gani?
1 Reactions
22 Replies
14K Views
Back
Top Bottom