Wakuu naombeni msaada wa kuweza kupata touch ya simu tajwa hapo juu,nimezunguka kariakoo nimekosa. Je kuna touch ya simu ya aina nyengine inayoweza kuingiliana nayo? maana nashindwa kutumia simu yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.