yutu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 1,633
- 973
Habari zenu wakuu?
Kadiri siku zinavyokwenda na teknolojia nayo inakuwa kwa kasi kubwa sana so nimeona nitumie uwanja huu kupata na kujuzwa kwa kina kidogo kwa hili linalonitatiza
nalo kabla nilikuwa Nina mpango wa kununua box la kuflashia simu aina ya milacle lakini katika kufatilia nikakutana na mtaalamu maeneo ya Kariakoo akaniambia kwamba anaweza kuniuzia software proglam ambayo ina uwezo wa kuflash simu bila matatizo kwa gharama ya laki na nusu tu na yuko tayari kunitestia na kuiona jinsi inavyofanya kazi.
Hivyo naomba mawazo yenu kama huu utaalamu unawezekana na kama unawezekana faida na hasara zake ni zipi tofauti kama ntakuwa na box.
Asanteni
Kadiri siku zinavyokwenda na teknolojia nayo inakuwa kwa kasi kubwa sana so nimeona nitumie uwanja huu kupata na kujuzwa kwa kina kidogo kwa hili linalonitatiza
nalo kabla nilikuwa Nina mpango wa kununua box la kuflashia simu aina ya milacle lakini katika kufatilia nikakutana na mtaalamu maeneo ya Kariakoo akaniambia kwamba anaweza kuniuzia software proglam ambayo ina uwezo wa kuflash simu bila matatizo kwa gharama ya laki na nusu tu na yuko tayari kunitestia na kuiona jinsi inavyofanya kazi.
Hivyo naomba mawazo yenu kama huu utaalamu unawezekana na kama unawezekana faida na hasara zake ni zipi tofauti kama ntakuwa na box.
Asanteni