Msaada kila nikifungua DATA kwenye tablet kuna ujumbe naletewa

Msaada kila nikifungua DATA kwenye tablet kuna ujumbe naletewa

ivunya

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2015
Posts
2,290
Reaction score
2,230
Rejea kichwa cha habari hapo juu , Tablet yangu internal storage ni 16 GB , Space niliyotumia kuhifadhi data ni 4 GB. Lakini kitu cha kushangazi kila nikifungua data naletewa Ujumbe kuwa "Data usage warning" touch to view usage and setting.
kwa MTU mwenye utaalamu na ujuzi naomba anisaidie kutatua tatizo hili. Natanguliza shukrani zangu
 
Nenda Kwenye Data Usage, Kisha Ongeza Data Usage
 
Ulete mrejesho...!
Ndugu iko poa sasa, mwanzo warning ilikuwa 2 GB, kwa hiyo nimepandisha mpka 8 GB na ule Ujumbe umejiondoa. Ngoja unisaidie kitu inaweza kutokea hata kwa miaka 2 au zaidi ijayo limit inaonyesha ni 9.6 GB endapo ikijaa mpka kwenye huu mstari nifanyaje
 
Ndugu iko poa sasa, mwanzo warning ilikuwa 2 GB, kwa hiyo nimepandisha mpka 8 GB na ule Ujumbe umejiondoa. Ngoja unisaidie kitu inaweza kutokea hata kwa miaka 2 au zaidi ijayo limit inaonyesha ni 9.6 GB endapo ikijaa mpka kwenye huu mstari nifanyaje
itabidi uongeze tena hadi 20GB itachukua mda kufikia.
 
Back
Top Bottom