Naomba application ya kuweka Black list kwenye simu

Naomba application ya kuweka Black list kwenye simu

matatajungu

Member
Joined
May 10, 2016
Posts
39
Reaction score
17
Waungwana ni applications gan za Android ambazo zinaweza kuweka black list katik cm na sms!?
 
Kumbe hii App inasaidia eeeh?Ngoja niichukue maana kuna mapopoma yanazingua sana.
Mtu akikosea namba akikutana na sauti ya kike kosa,taabu tupu!
usiniblock basi mm ndo yule nae kupigiaga usiku
 
Ukienda play store ukaandika black list zitakuja tu, unachagua na kudownload.
 
Back
Top Bottom