Msaada wa haraka jamani Please

Msaada wa haraka jamani Please

kim jung shik

Senior Member
Joined
Mar 26, 2014
Posts
129
Reaction score
23
Jamani mimi ni mwanafunzi wa chuo cha ATC nasoma telecomunication and electronics.

Natafuta field sasa kuna kampuni inaitwa CAM SAT sijui ipo wapi, nataka nikaombe hapo.

Jamani nisaidieni wiki ya tano sasa toka field ianze mimi bado
 
Back
Top Bottom