Bm_boy
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 547
- 348
Hii simu ilidumbukia kwenye maji baada yakuitoa nakuikausha ikawa inawaka nakuishia kwenye ile Logo ya Expirince smartlife now.. Haiendelei tena.. Nimejaribu kuhard reset imegoma nimejaribu kuiwekea stoc rom ila inagoma kuditect.. hapo nashindwa nifanyaje..
nashindwa kuelewa kama ni nimeshindwa kuistall adb. driver.. Ebunisaidieni
Wiki sasa sijachatika
nashindwa kuelewa kama ni nimeshindwa kuistall adb. driver.. Ebunisaidieni
Wiki sasa sijachatika