Bm_boy
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 547
- 348
Habari wakuu
Jf imekua msaada kwa watu wengi sana tunao ifaahamu.. Kwakulitambua hilo nami nimeamua kutumia fursa hiyo ila kupata msaada.
Nataka nifungu kaofic kangu kakutengeneza simu, hivyo basi nigependa kupata ushauri ni box gani inaweza kunisaidia kwa kuanzia, pia na vitu gani ninapaswa kua navyo, na nianzie wapi kufanikisha,
Mimi sina aidia yoyote ya ufundi ila ni mtundu naamini nikieleweshwa kidogo nitaweza kufanya vema.
Kwa wanao fahamu pia wanawez kunisaidia ningepaswa kujua nini zaidi katika ufundi wa simu ambacho kingeweza kunisaidi.
Nipo moshi nikipata mwalimu ningeshukuru zaidi.
Ila naamini ushauri wenu ni zaidi ya elimu ya chuo kikuu.
Wenu katika Ujenzi wa taifa
1000gb
Jf imekua msaada kwa watu wengi sana tunao ifaahamu.. Kwakulitambua hilo nami nimeamua kutumia fursa hiyo ila kupata msaada.
Nataka nifungu kaofic kangu kakutengeneza simu, hivyo basi nigependa kupata ushauri ni box gani inaweza kunisaidia kwa kuanzia, pia na vitu gani ninapaswa kua navyo, na nianzie wapi kufanikisha,
Mimi sina aidia yoyote ya ufundi ila ni mtundu naamini nikieleweshwa kidogo nitaweza kufanya vema.
Kwa wanao fahamu pia wanawez kunisaidia ningepaswa kujua nini zaidi katika ufundi wa simu ambacho kingeweza kunisaidi.
Nipo moshi nikipata mwalimu ningeshukuru zaidi.
Ila naamini ushauri wenu ni zaidi ya elimu ya chuo kikuu.
Wenu katika Ujenzi wa taifa
1000gb