Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nina toshiba portege M400 inagoma kuinstall windows inaonesha ujumbe wa kutoonekana kwa windows install driver. Nikaweka windows katika hard disc yake kwa kutumia laptop nyingine windows ikakubali...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana tech naomba mnisaidie kupata shelfu za chuma kama izo kwny picha au km unazo tufanye biz kdg for more help 0757663336
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habarini zenu, Baada ya ku-update ios kutoka 9.3.1 kwenda v9.3.2 ambayo imekuwa rolled out juzi,na ku-update WhatsApp kwenda v2.16.5 imekuwa ikistack na kushindwa kuendelea. Nimejaribu kutafuta...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wadau kama kichwa cha habari kinavyosema nauza pc tupu(dell precision t5500)maalum kwa ajili ya game za kisasa na inaweza kufanya editing pia...spec processor xenon 2.8mhz(4cpu)ram4gb,hdd 1t,dvd...
2 Reactions
52 Replies
8K Views
Wakuu nahitaji kuupgrade software kwenye galaxy s3
0 Reactions
0 Replies
544 Views
naomba mtu mwenye gemu za GTA v, MAX PAYNE 3, FAR CRY 4 na CRYSIS 3 za pc anijulishe nije nichukue maana kila web nayoingia kuzipakua inashindikana na nimeshindwa kwa mwenye nazo naomba msaada.
4 Reactions
20 Replies
5K Views
Salaam wakuu, Nimehamishs SD card 4Gb kutoka kwenye simu nilokuwa natumia na kuweka kwenye hii simu nilonayo sasa. But sizioni image wala links zangu zilokuwemo. Jee kuna namna ya kufanya ili...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wadau, Niko na shida kidogo ningpenda kujua jinsi ya kulipia kifurushi cha michezo pekee yake kwa startimes na gharama zake.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
M-paper nadhani is the most useful app ya kusoma magazeti online kutoka Tanzania mpaka sasa. Hongereni ila naomba muongeze Na gazeti la mwananchi mtakuwa mmemaliza kabisaa.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Tafadhali na hitaji msaada, nina laptop yangu aina ya Lenovo B570e inashida ya Bios, kila napo takata ku access Bios settings, ina load hukuikisema "please wait.......", Then ina boot normaly...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wakubwa Ni muda sasa nimekua nikisikia watu wanasema kuhusu ku root cm lakini sielewi kwasabababu ni mgen katika hivi vitu hivyo jamani nlikua naomba mwenye ufahamu na hivi vitu...
0 Reactions
0 Replies
820 Views
Leo katika kuhamisha vyombo nimekuta tv yangu imecrack na haioneshi kitu!! Naomba msaada wapi nitaweza replace hiki kioo na gharama zake!! Natanguliza shukrani!
0 Reactions
3 Replies
3K Views
wakuu habari yenu, ninatumia pc aina ya dell. nikisearch devices kwa wireless (wifi) device znaonekana ila niki connect wanaandika NetworkUx.ViewModel.SettingEntry. na hata setting hazifunguki...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Hii habari imendikwa kwenye gazeti la Mwananchi leo tarehe 10/04/2016. Sina uhakika ina ukweli kiasi gani, hasa mwandishi anapodai kwamba lazima IMEI kwa kila simu original ianze na 35 ndipo...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari za mida . Katika matumizi ya kawaida ya pc yangu imepatwa na shida hii ambayo mpaka sasa sijajua nini tatizo au chanzo. Kwa muda nimetumia kucheza games, kusomea na kuvinjari. Hivi sasa...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Wanajamvi habari za Leo Natumai mu wazima wa afya jamani leo naomba msaada namna ya kujiunga skype maana najaribu nashindwa Namna ya kuandika majina yanatakiwa yawe na maneno mangapi (hasa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Camera HD + Camera ya mbele, mtandao 3G, ina support whatsapp, youtube, instagram, inafungua PDF files,ina edit picture,nk . Ninunue simu gani?
0 Reactions
38 Replies
6K Views
Wana body salaaam, Leo nimeingia humu kuomba msaada Nina modem ambayo inanisumbua jinsi ya kutumia najaribu kuweka line lkn inasema sim not supported lkn ni universal anayefahamu naomba msaada
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…