Msaada: Nawezaje kutumia WhatsApp account 2 kwenye simu moja?

Msaada: Nawezaje kutumia WhatsApp account 2 kwenye simu moja?

Lee

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2013
Posts
44,011
Reaction score
150,546
Wakuu naombeni msaada najua apa ndo kila kitu nataka niunge WhatsApp mbili means namba zangu zote tigo na voda kwenye simu moja. Nifanyeje ?
 
Nenda setting hapohapo kwenye whatsapp utaona neno account change account itakuletea simu namba ingiza iliyokuwa inatumika na badilisha kwenda namba unayotaka kw.muda huo
Mkuuu apa si ntachange namba? Nataka zote zitumike
 
Thread hii imefunguliwa wakati mwafaka
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Asante mkuu ngoja nijaribuu
Nimefikiaa hapa mkuu,, nafanyaje
72abac018b591811db49098b65f28aba.jpg
 
Nimefikiaa hapa mkuu,, nafanyaje
72abac018b591811db49098b65f28aba.jpg

Kuna whatsapp plus nyengine kwenye sim yako ambayo ina file sawa na la GBwhatsapp.

Una whatsapp plus gani unayotumia. Ukiacha ulio download kupitia play store?
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Kuna whatsapp plus nyengine kwenye sim yako ambayo ina file sawa na la GBwhatsapp.

Una whatsapp plus gani unayotumia. Ukiacha ulio download kupitia play store?
Mkuu,, ilikuwepo ya kawaida ila nilivoinstall uliyotuwekea link ikanidirect ila nilivoinstall ikagoma ,, nikaunstall ndo nkajaribu iyo still ina goma
 
Kuna whatsapp plus nyengine kwenye sim yako ambayo ina file sawa na la GBwhatsapp.

Una whatsapp plus gani unayotumia. Ukiacha ulio download kupitia play store?
Sina yoyote mkuu
 
Hata Mimi natamani hiyo kitu lakini nachemka mkuu auna hata kascreen shoot ka video tukasoma muongozo?
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Kuna whatsapp plus nyengine kwenye sim yako ambayo ina file sawa na la GBwhatsapp.

Una whatsapp plus gani unayotumia. Ukiacha ulio download kupitia play store?
Sio WhatsApp plus nyingine ipo kwenye simu, tatizo ni WhatsApp original bado simu inaona ina exist hata baada ya ku uninstall, kwahiyo anapojaribu kuinstall hiyo plus inagoma.
 
Sio WhatsApp plus nyingine ipo kwenye simu, tatizo ni WhatsApp original bado simu inaona ina exist hata baada ya ku uninstall, kwahiyo anapojaribu kuinstall hiyo plus inagoma.
hiyo original sio tatizo. labda hiyo link imemletea Original whatsapp
Screenshot_2016-04-06-09-21-47.png
Screenshot_2016-04-06-09-22-00.png
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Hebu nitumieni e-mail address zenu, niwatumie hiyo Apps
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Back
Top Bottom