Weka picha:
habari
jamani mimi natumia tecno n7 sas sielewi matumizi ya Wi-Fi na nikitaka kuitumia nafanya nini???? kiukweli i know nothing about it naiona tuuu ipo ila siielewi kabisaaaaa naomba mnifafanulie kwa kina na mnielekeze jinsi ya kuitumia
asanteni
Wi-Fi (wireless fidelity)
.
Nisikuchanganye sana kaka, kama ulvyosema wewe sio It
.
Hii Wi-fi inakuwezesha kupata asses ya Internet, kama sehemu/mtaa/ofisini unapo kaa pana HOTSPOT,
.
nisikuchanganye hotspot, ni sehemu ambapo Wi-Fi Ipo accessible,
.
Kwa mfano kama wewe hapo unaweza, ukajitengenezea, HOTSPOT alafu kama kuna mwenye,
simu au pc ataweza kutumia internet kupiatia Pc au Simu uliyo tengenezea hyo Hotspot,
.
Pia Kuzuia wizi Wi-fi hotspot zinafungwa na password,
hata wewe kama umeitengeneza unaweza ukaiwekea code.
.
Nadhan umefunguka kidogo.
Katika simu yako, kama eneo ulilopo kuna Wi-fi hotsp basi ukiswitch on ita detect, lakin hutaweza ku2mia internet bla code, kama wame i lock, kwa wewe underground in IT
ili advanced na mm pia 2naweza bypass
Wifi ni Mke wa Kaka (Kwa Madada tu). Mfano kama wewe Mwanamke na una Kaka, basi Mke wake ni Wifi yako....
Mchoro jinsi WIFI inavyofanya kazi ni kama kwenye Picha ambapo ingawa hakuna waya umeungwa, ila kuna mawasiliano yanayopita kutoka HotSpot/Modem/Router etc kwenda kwenye Laptop, simu, Tablet, etc...
![]()
Swali zuri,
Kama alivyoeleza middlebopper ni kwamba, Ili uweze kupata mtandao (Internet) ni lazima uunganishwe kwenye huo mfumo. Na kuna njia kadhaa za namna ya kuunganishwa, zikiwamo za kutumia nyaya na zisizotumia nyaya (wireless)
Wireless Fidelity inakusaidia kuunganishwa na huduma ya mtandao bila kutumia waya kuungwa kwenye simu yako, unatumia hiyo Wi-Fi kuweza kupata internet.
Jambo la kuzingatia ni kwmba, lazima eneo hilo liwe na hiyo huduma ya mtandao ya wireless. Mfano maofisini, viwanja vya ndege, mahoteli n.k na utahitaji kuwa na namba (access code) za kuweza kukuruhusu kujiunga na huduma hiyo kama haitolewi bure.
asante sana mkuu,kiukweli nimeelewa na kama ukinipa mtihani nitapata A na sio division V.
asante ndugu,nimeelewa sasa atlist mmenitoa tongotongo
habari
jamani mimi natumia tecno n7 sas sielewi matumizi ya Wi-Fi na nikitaka kuitumia nafanya nini???? kiukweli i know nothing about it naiona tuuu ipo ila siielewi kabisaaaaa naomba mnifafanulie kwa kina na mnielekeze jinsi ya kuitumia
asanteni
![]()
asante ndugu,nimeelewa sasa atlist mmenitoa tongotongo