Baada ya Ku zip file na winzip na password. nimesahau password naweza fungua files hizi?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,471
23,744
wadau niliweweka kwenye archive files zangu kadhaa na kuamua kuzifungia kabisa na password. lakini sasa najaribu kuingiza password week ya tatu hii zote zinakataa. je kuna namna gani ya kuokoa files zangu hizi maana kilichomo ndani ni muhimu nahikihitaji.
 
Kingekuwa kitu cha muhimu usingesahau password vinginevyo ni uzembe wa hali ya juu huu, anyway tafuta software moja inaitwa Ultimate Zip Cracker install halafu jaribu kama utaweza kukuokoa, pia subiri michango ya wadau wengine hapa
Pia, kwa sababu hujataja archive extension yake unaweza kutafuta software ya PeaZip hii huwa inafungua hadi RAR files
 
Back
Top Bottom