WAKU-GOOGLE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2015
- 950
- 628
Habari wakuu,
Nimejichanga kufikia Tshs. 600, 000/-. Naomba kujua uzuri wa samsung j7 kwenye memory, battery na camera na durability, au kama kuna samsung aina nyingine yenye kiwango na nzuri kulingana na bajeti yangu.
Nawasilisha wakuu, naomba michango yenu.
Nimejichanga kufikia Tshs. 600, 000/-. Naomba kujua uzuri wa samsung j7 kwenye memory, battery na camera na durability, au kama kuna samsung aina nyingine yenye kiwango na nzuri kulingana na bajeti yangu.
Nawasilisha wakuu, naomba michango yenu.