NGOGO CHINAVACH
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 943
- 371
ACCESS DENIED.
Mkuu hizo RED zote zinaonesha kifurushi kikikata labda ww ni special case........inawezekana wamekusoma kila mwezi unachelewa kulipaWaungwana habari zenu, kingamuzi cha Azam tv kinaonyesha TBC tu, channel nyingine zote nikibofya inaleta ujumbe ACCESS DENIED.
Ingawa kifurushi kimeisha lakini local channel kama Channel ten, clouds tv, startv, zbc, tv1 n.k silitakiwa niendelee kupata au sera imebadilika?
Hebu fafanua hiyo ya mpira bure chiefkama unapenda vya bure nunua decoda ya kawaida,karibu katk dunia ya power vu uweze kuutazama mpira wa uingereza na k bureeee
Mkuu huu utapel bado upo? Msidanganyike m kunamtu hum jf kanitapel hvyo staki kusikia uongo wa hii kitu et ukifunga dish la kawaida unapata za mpira... acha huo uongo mkuukuna deccoda ambazo ukiwa nazo na dish ft 6 utaweza kutazama mpira wa uingereza free,hamuamini? nipigie0786705206
kwa taarifa mimi sio tapeli,nilitaka tu kuwapa elimu lakini naona umenielewa tofauti,ngoja wenye shida watanitafuta na nitawasaidia,Mkuu huu utapel bado upo? Msidanganyike m kunamtu hum jf kanitapel hvyo staki kusikia uongo wa hii kitu et ukifunga dish la kawaida unapata za mpira... acha huo uongo mkuu
Yamekufika hapa mkuu!!kwa taarifa mimi sio tapeli,nilitaka tu kuwapa elimu lakini naona umenielewa tofauti,ngoja wenye shida watanitafuta na nitawasaidia,
Yalinikuta mkuu, nikajifunzaYamekufika hapa mkuu!!
Hata hyo alie nitapel alikuwa anasema hvyo, mwisho akachukua pesa na na no ya sim akabadili,kwa taarifa mimi sio tapeli,nilitaka tu kuwapa elimu lakini naona umenielewa tofauti,ngoja wenye shida watanitafuta na nitawasaidia,
New PowerVu Keys ( All Satellites )kuna deccoda ambazo ukiwa nazo na dish ft 6 utaweza kutazama mpira wa uingereza free,hamuamini? nipigie0786705206