Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Twitter wamenitumia hiiii email kwa email yangu With hundreds of millions of engaged users, Twitter can help you connect with your customers and find new ones. Whatever your business goal, it’s...
0 Reactions
5 Replies
909 Views
Google Pixel Phone IMETOKA MUDA SASA NILIKUA NAOMBA MAELEZO KUHUSU HII SIMU VIPI MAANA SIJAONA WATU WAKIONGELA HUMU JAPO MARA MOJA TUNAWEZA KUWEPOO HUMU WOTE NAKUELEZEA KWA UZURI WAKUU
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimefiwa na Jirani yangu sasa ndugu wameomba Chonde chonde nifanye lolote account yake iweze Kufungwa hivi inawezekana kweli au Mpaka Niende Ubalozi wa Marekani Dar au Nipige Simu Ubalozi wa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari za leo wakuu, jana nimerudi nyumbani kutoka kwenye mizunguko yangu, nmekuta mtoto wangu mdogo kaigonga TV na kitu ambacho kimesababisha kupata mipasuko midogo midogo ambapo sasa haioneshi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau, Haya ni moja ya makampuni ya TV ya kichina ambayo naona yanafanya vizuri sokoni kwa sasa. Nimejaribu kuzunguka kariakoo nimeona bei zake zinafanana. Hasa kwa saizi nayoitaka ya 32"...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naomba kuelekezwa nina simu yangu samsung j7 white ila sasa nataka kubadilisha colour iwe gold Nimefikiria kubadilisha housing he itawezekana na kwa bei gani ?!
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Najaribu kudownload game ya mpira ya android FTS17 siipati kweny google play haipo nimejaribu hata apk imeshindikana hebu naomben mnipe maujanja hapa wakuu
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Tangu jana tumeunga kifurushi kwenye king'amuzi na majibu yakaja tayari ombi limeshapokelewa. sasa tumesubiri mpaka sasa masaa 24 yameshapita hatuoni chochote,, na chanel ni zilezile...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wadau! Nina simu ya Microsoft nataka kutoa passcode ila batani ya down haifanyi kazi,msaada kwa atakaye nisaidia kutoa hii passcode ?
0 Reactions
3 Replies
890 Views
Msaada;Nimehangaika kutafuta app ambayo inalive tv za kibongo maana nyingi nazozipata zinaonyesha channels za nje tu,ipo application niliwahi kuitumia ina Azam1, Azam2 na local channels nyingine...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Ndugu wana jf pc yangu aina ya toshiba inayotumia Windows xp imegoma kutoa volume wala haioneshi network naomba msaada jinsi ya kuweka driver na namna ya kuipata hiyo drver asanteni
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari za muda wadau? Na tatizo moja Simu yangu imegoma kuingizia chaji kwa njia ya kawaida kwa muda. Niikiweka charger kwenye soketi ya umeme haipeleki lakini nikitumia wire ya USB kuchajia...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wakuu, nahitaji kujua hivi hapa Tanzania kuna kampuni inaweza niuzia kifaa kitakacho weza nipatia Internet yangu mwenyewe mfano niko kijijini sehemu ambayo bado hakuna huduma ya Internet...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
Hakuna kitu kinachokera kwenye matumizi ya computer kama kupokea ujumbe au sauti kuwa kuna file ime-corrupt kwenye computer yako. najua wengi sana hatuelewi ni njia gani ya kuweza kutafuta hyo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wadau. Ninataka kuflash cm ila sijui ni programs zipi zinatumika. Hasa Nokia na Samsung.
1 Reactions
4 Replies
13K Views
Habarini wanajamvi. Naomba kwa mwenyee anajua bundles na huduma zingine za mtandao wa TTCL afanye kushare nami/nasi please
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari wana jamvi,nina simu yangu Samsung GT-N7100 ilikuwa inapiga kazi vizuri,ila toka jana inasumbua kwenye network,ukiiwasha minara inapanda vizuri na ukiweka data on,inapga kazi kwenye...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Msaada naomben jins ya kuipata password niliosahau ktk hp laptop, na iliwekwa kwa mtindo wa bios password
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu kuna kitu huwa nakiwaza sjui nyie mnaonaje? Hiv facebook na whattsap wakilaunch project yao ile ya kutuma pesa popote duniani itakuaje? Mitandao ya simu hususan kwetu hapa watafanyaje...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau nimevutiwa sana na app ya blog ya Udaku Specially na Bongo Swaggz. Naomba kujua software iliyotumika kuzitengeneza
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Back
Top Bottom