My god win
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 361
- 240
Sasa tatizo likwap haponatumia W3 tecno![]()
Tatizo linakuja ikiwa hivyo Huwezi kufanya chochote. Wala haitaki kurudi .katika Hali yake ya kawaida. Mpaka niizimeSasa tatizo likwap hapo
Ukiwa umezima data tatizo hilo linatokea?Tatizo linakuja ikiwa hivyo Huwezi kufanya chochote. Wala haitaki kurudi .katika Hali yake ya kawaida. Mpaka niizime
Ndio linatokea.kwa mfano Usiku nazima data. Nikiamka nakuta hivyo.Ukiwa umezima data tatizo hilo linatokea?
Ndio linatokea.kwa mfano Usiku nazima data. Nikiamka nakuta hivyo.[/QUOT
hakuna matangazo matangazo ukiachana na hiyo uliotuma?
Hata ukichagua hakuna chochote kinachotokea. Na hata ukirudisha cm kawaida haitakiMaana yake chagua app kati ya hizo ambazo hazitumiki mara kwa mara ili zisifanye kazi/task background
Kwani Tatizo Ni Nani?kafrash cm wewe tena wahi fasta na wakusetie upyaaaaa kila kitu.
Anzisha Thread yako utajibiwa vizuriSamahani Mkuu nauliza swali njee ya mada kidogo Kati ya Samsung Note 5 & Note 4 ipi kali kwako? na kwanini
Jaribu kufanya reset na pia epuka kuinstall program hovyoKwani Tatizo Ni Nani?
NashukuJaribu kufanya reset na pia epuka kuinstall program hovyo