msaada wa network security kwenye wifi

msaada wa network security kwenye wifi

bonem

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2015
Posts
235
Reaction score
55
wadau humu samahani.nisaidieni jambo hili, linakwamisha matumizi yangu ya internet. ni kwamba nataka kutumia internet kupitia wifi hotsport, ila inaulizia security na nikiiweka inaniambia ni incorrect yaani siyo sahihi, tangu juzi. naomba msaada au namna mbadala.natanguliza shukrani kwa uungwana wenu
 
Nenda :
setting>more> tethering and portable hotspot>wifi hotspot> password

Hapo utaona password zako
 
password ipo kwenye simu yako, wakati unaunga hiyo wifi ndo inaonekana iyo paswd
 
Back
Top Bottom