ELIAS MICHAEL MORRIS
JF-Expert Member
- Sep 26, 2016
- 384
- 298
Ndugu zangu wana JF,
Hivi inawezekana ukampigia mtu simu kwa njia ya internet ikiwa yeye hatumii simu yenye uwezo wa internet ila ya kwako inayo? Simu yangu haina dakika ila ina MB nyingi tu!
Hivi inawezekana ukampigia mtu simu kwa njia ya internet ikiwa yeye hatumii simu yenye uwezo wa internet ila ya kwako inayo? Simu yangu haina dakika ila ina MB nyingi tu!