BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,088
- 2,174
Mpaka kujaa inachukua masaa 12! huu mda si wa kawaida wakuu cjui tatzo nini? Mara nyingi nachaji usiku wakati nimelal [emoji26][emoji51][emoji56]
Uliyonayo ni chaja yake Orijino?Mpaka kujaa inachukua masaa 12! huu mda si wa kawaida wakuu cjui tatzo nini? Mara nyingi nachaji usiku wakati nimelal [emoji26][emoji51][emoji56]
Hilo ni bomu sio simu...Mpaka kujaa inachukua masaa 12! huu mda si wa kawaida wakuu cjui tatzo nini? Mara nyingi nachaji usiku wakati nimelal [emoji26][emoji51][emoji56]
Ushauri mzuri mkuu ila mashine hii iko vizuri acha kabisa mkuuHilo ni bomu sio simu...
Angalia kama charger ni compartble na simu..., Angalia pia adapter na USB cable...Angalia output power ya charger..
Hapana hii chaja ni adopter tofauti na wire cable tofaut nimetafuta chaja nyingne angalau kuna mabadrkoUliyonayo ni chaja yake Orijino?