Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Msaada ndugu zangu simu yangu galaxy note 4 model Sm-N910A imekata network mtandao hausomi lakini internet naweza kutumia. Kwa awali iligoma kussuport line ya voda nikiweka inaandika phone not...
0 Reactions
0 Replies
844 Views
Ni #BusinessUnusual DStv, tumepunguza gharama za vifurushi! Gharama mpya kuanzia LEO! tarehe 1 Novemba 2016 ni: Premium Kutoka sh.219,000 - 184,000 Compact Plus Kutoka: sh.147,000 - 122,500...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau naomba kufahamu app muhimu ambazo zinaweza kuweka ulinzi baada ya kuroot Simu(android)
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wana Jukwaaa. Nina HTC desire 320. Inashindwa kuwaka mpaka kufikia mwisho. Inachofanya ni kuwaka mpaka kwenye HTC logo kisha ku restart tena haiendelei zaidi ya hapo. Uki connect kwenye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna App ya blog moja nimeipenda sana.... Nani anaweza kunijuza jinsi ilivyotengenezwa ili nifanye hivyo... Nahitaji app inayosupport admob
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Naomba kujua jinsi ya kufanya live streaming kwenye facebook, nilipata maelekezo youtube lakini bado nikashindwa au labda inatokana na aina ya simu ninayotumia
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Iwe ina support vibration, kwa dar sehem gan ya uhakika ntapata
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kama umepoteza simu yako au kuibiwa una weza kuipata kwa njia ifuatayo. Awali ya yote tukumbuke kwamba kila simu ina namba yake ya utambulisho yaani IMEI namba na ili kuipata/ kuitambua hiyo namba...
3 Reactions
5 Replies
4K Views
kama una tatizo la software na programe yeyote kwenye computer kwa wilaya ya kasulu (kigoma) tutafutane nitakuwekea kwa bei ndogo kwa mawasiliano namba zangu ni na nyingine ni Napatikana...
0 Reactions
0 Replies
830 Views
Wadau kuna simu nimeibiwa katika mazingira ya kutatanisha sana, na kwa bahati mbaya siijui IMEI no yake ila mara ya mwisho nilikua naitumia kwa laini ya Halotel Aliyeiiba kaiba pamoja na laptop...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu nahitaji setup ya software yoyote inayofaa kudesign electronics circuit na kufanya analysis ni email hio setup. au weka apa Danmarconi55@gmail.com Asanteni
0 Reactions
2 Replies
666 Views
Nina PC ya Toshiba jamani n muda sasa nikiwa naitumia inazima display ghafura kidogo ina washa tena imekua nzito video Ku play zinagoma goma sauti ina kwaluza sijui nini tatizo na nifanyeje?
0 Reactions
1 Replies
618 Views
Wakuu mimi nina jicho na mkono wa kuchora chora kwenye paper. Natamani kugamia digitali tafadhali anayejua program nzuri za kufanyia sketching na animatio anipe Sijui jinsi ya ku upload...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
I want to start a blog concerning PHOTOGRAPHS how to start, which the best site ,what to do
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Poleni na majukumu ya weekend wadau wa jukwaa hili muhimu. Kuna movie nimedownload kutoka "Piratetorrent.net" inaitwa "13 hours The secret Soldiers of Benghazi", shida ni kwamba iko cmpresed kwa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habar zenu wakuu, Naomba msaada wakulock dvd cd, ili kusiwe na uwezekano wa mtu yeyote kuweza kukopy khaz iliyopo ndani zaidi ya aliye tengeneza, Nawasilisha.
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Ndugu wana jf pc yangu aina ya Toshiba inatumia Windows xp baada kuapdate local disk G imeshindwa kutoa sauti wala kuonesha network naomba msaada wa namna ya kuweka drive na namna ya kuipata or...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu! Mwenye uelewa wa app ambayo inaweza change font style kwenye Samsung phones tofauti na ifont kwani mi ni moja ya wahanga wa font nzuri ila natumia za ifont naona nimezichoka...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wakuu naomba kujua kama hizi kampuni za simu zinatoa API na taratibu zake zikoje?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
MSAADA, kwa yeyote anayejua application ya kuweza kuangalia TV kwenye simu
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Back
Top Bottom