mkuu unatakiwa ujue haya kwanza,
-graphics card nyingi za chini ya laki moja ni dhaifu kuliko gpu zinazokuja na processor hivyo kuwa makini hapa
-kariakoo sijawahi kuona graphic card mpya ya maana ambayo inauzwa kwa bei inayoeleweka nyingi zinauzwa ghali kuna wakati hata mara 8 ya bei halisi
njia rahisi ni kutafuta machinga complex au maduka ya desktop used, graphic card huja na desktop wao wanazitoa.
una sh ngapi na unataka gpu ya nini?