Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Hello jf!kuna galfried wangu wa zaman alinigunduaga kwamba nimemtongoza rafiki yake{ni kweli},bac ikatokea nkamuomba msamaha but mmanzi akachomoa,akashauri 2achane 2,nkawa kila nkimpgia cm au...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Once a stranger... You were once a stranger... a man with character... but yet could not be read like a blank piece of paper. I asked for your name and you did the same... was that fate?! I...
8 Reactions
124 Replies
7K Views
Je utajuaje kama 'mpenzi' wako anafungulia nnje?
0 Reactions
18 Replies
13K Views
Ukizingatia kwamba, kuwa na ndoa imara ni kitu muhimu sana ili kuwa na afya na furaha, italeta mantiki kuelekeza nguvu zenu katika kuifanya ndoa yenu kuwa bora zaidi. Hapa chini kuna vidokezo kwa...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Mpenda maendeleo kwa mawasiliano namba yangu ya simu ni 0773291168
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari za jioni wadau? Nipo nabadilishana mawazo na rafiki yangu ambaye anataraji kuajiriwa na kuwa mwalimu, lakini anachonishangaza eti hataki mwanaume ambaye ni mwalimu kama yeye. Jamani hivi...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
mambo vp wana jf, kuna jamaa yangu mmoja ameoa kama miaka nane imepita. alikuwa anafanya kazi katika shirika flani hivi mitaa ya singida. mnamo mwaka 2006 aliachishwa kazi na hadi hii leo bado...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Mlipooana tu sex ilikuwa hot, exciting na full speed! Na mlikuwa mnasemezana kwamba hata siku moja haitakuja kubadilika hata hivyo baada ya watoto kuzaliwa na majukumu kuongezeka hata bila...
1 Reactions
16 Replies
7K Views
Hongereni wote
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hebu na tujadiri hili.mtu unatafuta mpenzi kupitia gazeti au mtandao.bahati nzuri anaandikiwa na watu tuseme 20.wote anaamua kuwatafuta.je hata kama atapata mmoja wa kumfaa, mnadhani ataacha...
4 Reactions
21 Replies
5K Views
sikujua akina mama kumbe nao kweli wanaweza hadi nilipoisoma hii habari..............Ajinyonga kwa kuchoshwa na vipigo vya mkewe
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Huyu jamaa anaitwa Paul,anaishi katika manispaa ya Moshi,ana uhusiano wa kimapenzi na Ex wife wa mjomba wake,anataka kumuoa anataka kujua kama atapata baraka za ndugu na jamii inayomzunguka,wewe...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
kwanini wanandoa walio wengi wanatoka nje ya ndoa?
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wandugu kwema? Jamani mimi ni mdau wa humu siku nyingi sana ila nimekutwa na makubwa mwenzenu. Siku tatu zilizopita mke wangu alikuwa amelala hospitali akimuuguza ndugu yake. Baada ya mimi kuwa...
2 Reactions
143 Replies
13K Views
I want to find out the legal status of the oil distributors in Tanzania. It is unbecoming to have them hold consumers at ransom.
0 Reactions
0 Replies
926 Views
Kama ndoa yako imefikia hatua hii basi ni heri kurudi kwa Kasisi kurekebisha mambo!
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Watu wengi huwa wanajaribu kuunga mkono suala la kutoa mimba pale ambapo wahusika hawakupanga kupata mtoto. Wengine hutetea kitendo hicho eti kama msichana akibakwa basi anahaki ya kutoa. Kuna...
2 Reactions
47 Replies
6K Views
nani anahaki ya kuhudumia wazazi kati ya mtoto wa kike na wa kiume?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Katika yale mambo yetu ilinitokea mwenzangu kuwa ananihabarisha kila kinachoendelea,sababu sifa yake kuu ilikuwa ni kuongea kwa kulalamika wakati wa shughuli.Kilichonishangaza ni kuwa mwenzangu...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Kuna dada mmoja.ni rafiki yangu tunafanya naye kazi na tumetoka naye sehemu moja. Huyo dada aliunga urafiki wa kimapenzi mwaka juzi na kaka mmoja anafanya kazi wizara ya ardhi uhusiano wao...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Back
Top Bottom