Mimi ni mvulana niliye ajiriwa serikalini natafuta mchumba popote duniani awe muislam mcheshi na

we subiri mfungo uishe,we utakimbia mwenyewe.gud luck and i hpe u'll find the right one
 
Mpenda maendeleo kwa mawasiliano namba yangu ya simu ni 0773291168
<br />
<br />
mkuu unaonekana upo serious, kwa ushauri tu hyo ofa katangaze FB, peleka tangazo kwenye magazeti ya ijumaa, risasi, uwazi, sani n.k humo utakuta wachumba lkn sio humu JF utakuja kuoa mzmu shauri yako. ZINGATIA
 
mkuu unaonekana upo serious, kwa ushauri tu hyo ofa katangaze FB, peleka tangazo kwenye magazeti ya ijumaa, risasi, uwazi, sani n.k humo utakuta wachumba lkn sio humu JF utakuja kuoa mzmu shauri yako. ZINGATIA
Acha kuandika PUMBA aka CRAP....au wewe ni mzimu?!
 
Inshallah! Ngoja mfungo uishe nikupigie, sahizi usije ukaniharibia funga.
 
Vumilia tu mkuu taratibu utampata wala usiingie kichwakichwa utauziwa mbuzi kwenye gunia!
 
Ni mwezi mtukufu sana huu wakuomba kila unachokihitaji,Muombe Mwenyezi mungu akupe mwenye kheir na weye na mwenye shari akuepushie.
 
<br />
<br />
mkuu unaonekana upo serious, kwa ushauri tu hyo ofa katangaze FB, peleka tangazo kwenye magazeti ya ijumaa, risasi, uwazi, sani n.k humo utakuta wachumba lkn sio humu JF utakuja kuoa mzmu shauri yako. ZINGATIA

Duh! naona sasa utamtisha dogo let him try his luck anaweza ibuka na kitu humu humu!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom