Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kuna jamaa alipigiwa simu na mwanamke wakati wamepumzika na mkewe. Jamaa alimjibu uyo mwanamke ntakutafuta baadae. Mkewe akahoji ni nani uyo? Jamaa akajibu ni mjinga flan na ni demu wa rafiki...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwenye maisha lazima utahitaji kuvijua vitu fulani kwa undani (Udadisi) ili kupunguza mawazo juu ya hicho kitu na kukielewa vizuri, Leo naomba kufahamu juu ya uvaaji wa pete mbili kwa akina mama...
1 Reactions
16 Replies
10K Views
Naitwa joseph natafuta msichana aliye umbika yeyote aliye tayari adisplay sifa zake
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Nilikuwa mpambe wa bw. Harusi, Tulienda kijiji fulani ( ..) Baada ya kukamilika taratibu zote ukafika muda wa unyumba ambao bwana Harusi alitakiwa kukutana na mkewe Kwanza kikatandikwa kitambaa...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
jaman kuna msichana m1 ninampenda sana, nilivyokutana nae kwa mara ya kwanza nilijua yeye ndiye atakuwa my wife tatizo siku ya kwanza kwenda kuchakachua niliyoyakuta huko noma unaambiwa kinu kina...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Tamaa ina changia, binti anajikuta anahitaji nguo nzuri, viatu, hand bag na amechishe kuanzia hereni, nguo, viatu, mkoba mpaka nywele, halafu mtu wenyewe masikini wakati kilasiku anahitaji...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Habari ya mapimziko. Mapenzi ni ujinga na ujinga huu ndio unaonisumbua. Ni kawaida yetu mimi na wangu mwandani kunyoana kila jumamosi ya katikati ya mwezi na mwishoni mwa mwezi. Kilichonikera...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
MMU Members hamjambo? wikiend iko vipi? Sina mengi ya kusema kwa leo bt nataka kuwapa ZAWADI, hii ni kama dedication yangu kwenu kwa upendo wenu na urafiki wetu tunao uonyesha humu jamvini...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Mtu atamwacha baba na mama na kumfwata mumewe alichokiunga MUNGU mwanadamu awezi kukitengenisha Tangu Mwanzo mpaka kitabu cha ufunuo sijaona Mungu aliumba kaka na dada ama mjomba na shangazi ama...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Mambo ya ujana.
4 Reactions
26 Replies
3K Views
Baada ya kuwa na aina tofauti tofauti za uhusiano nikitafuta furaha na ule upendo wa wawili ,nimeishia kuvuruga hata ile furaha nliyokuwa nayo !nachukua likizo fupi ya kujipenda let me see if i...
2 Reactions
22 Replies
5K Views
Mambo vipi jaman mi nikijana mwenye miaka 24, nimemaliza pale mliman mwaka huu, so bado nipo kitaa sijapata raman ya uhakika, nikiwa pale kuna dem nlikuwa nae ila soon 2lipomaliza huwezi amin...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
habari wana jf, kuna bar moja huwa napendelea kushinda kwa siku za ijumaa, jmosi na j2 kwa kupata maji ya baraka, chakula na kutazama soka. kuna baamedi mmoja tumezoeana sana.yaani imefika wakati...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Jamani nimetumia akili, nguvu, juhudi, jitihada, maarifa na kila kitu ili mradi tu afurahi; lakini sina hakika kama nimegonga mwamba au ni kwamba ameamua tu kuniumiza. Ndio kusema hanitaki? Au...
1 Reactions
151 Replies
12K Views
Jamaa kazoea kuwarusha mabinti wa watu ukuta sasa naye anawaota hao warembo nao wakimrusha ukuta kwa kutumia dildo..........................lol...........................anadhani ni popo...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nduguzanguni mficha uchi hazii au mficha maradhi kifo humuumbua. mimi ni mwanaume niliyeoa miaka 3 iliyopita, tumebahatika kupata mtoto 1 wa kiume umri 2yrs. Huyu mke wangu anasauti kuliko mimi ...
1 Reactions
62 Replies
6K Views
Mke wa rafiki yangu anataka anipe dawa ya kuacha pombe nimuwekee mumewe yaani rafiki yangu kwenye pombe.ananibembeleza hadi imeshakua karaha.kisa akilewa anamsumbua na hatimizi malengo sababu ya...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
hadi sasa hivi hawa wasichana wa kileo sijawaelewa lengo gani.mimi napenda niwe na mwanamke mmoja mwaminifu.lakini asilimia kubwa ambao nimewatongoza hawataki kuwa kwenye uhusiano.wenyewe...
1 Reactions
46 Replies
5K Views
Nina rafiki kigeugeu,alafu hypocrate. And she's ma best friend.what should i do 2 avoid her?
0 Reactions
49 Replies
4K Views
Back
Top Bottom