Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Habarini jf members! Sasa mimi kama nilivyojieleza ni mgeni katika ulimwengu wa wapendanao kwa ufup sijawahi jihusisha kabisa na harakati za kutafuta au kudeal na wasichana hadi sasa ila nadhani...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
habari zenyu bana!?. hii ni siri nakupeni wewe mwanaume mwenye kuwa na girlfriend au mke,usije ukathubutu kumtania mpenzi wako mambo yanayohusiana na mapenzi.kwa mfano umwambie"nampenda rafiki...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Jana jirani yangu wamebwatizana na mkewe kisa jamaa karudi nyumbani saa Nne usiku wakati kawaida yake saa mbili huwa anakuwa sebuleni anaangalia TV. Nikajiuliza kwani ni haki kwa mwanaume...
0 Reactions
89 Replies
13K Views
Kwa nini unanifanyia hivi lakini???
0 Reactions
196 Replies
11K Views
Kuna mama hapa mtaani baada ya kutalakiana na mumewe sasa anaishi na house boy wake maisha ya KINYUMBA. Mama huyo sasa amesusiwa kutembelewa na wanawawe kwa aibu hiyo. Hoiuseboy mwenyewe is less...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Kuna jamaa mmoja nimwite kwa jina la YUDA alikuwa ameoa na wamejaliwa na Mungu watoto watatu. Alikuwa anafanya biashara ya kuuza miwa hapa kijijini kwetu, maisha yalivyokuwa yanaendelea alianza...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kila nikipishana nae lazima ajigusishe ziwa lake mwilini mwangu au anipige na kalio na mara nyingine mkono wake anauleta huku maeneo nyeti. leo nlipokuwa natoka home kuja job kanipiga kibao fulani...
0 Reactions
60 Replies
11K Views
Mimi nina binti kaolewa na ana watoto 2 na wanakaa kwao kwenye nyumba ya yeye na mumewe,mama yuko mko mwingine na wao wako Mkoani lakini anamlalamika mama mkwe wake kila akienda kuwatembelea...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
ukipenda chukua ukinuna achana nazoSIRI YA KUMVUTIA MUME MUDA WOTE: Ni kweli upo kwenye mahusiano na katika mahusiano yako mwanaume uliyenaye ni wa uhakika, safi kabisa na hongera sana. hata hivyo...
2 Reactions
7 Replies
40K Views
upo kwenye pati alone anakuja mkaka anakuomba kampani anadai yuko single tena lonely sana wisho wa siku mnapeana number kesho yake anakupigia mchana inafika siku umetoka kwenye mahangaiko ni...
2 Reactions
130 Replies
9K Views
Kuna usemi uliozoeleka ya kwamba chakula fulani ni kitamu au vyakula fulani ni vitamu. Binafsi nakataa kwa sababu chakula chochote ili kiwe kitamu kinahitaji mapishi mazuri. Ndio maana ukienda...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Natanguliza na salaam. Kuna dada flani amepatwa na tukio ambalo hakutarajia japo ni mtu amekomaa.Anadai kuwa katika kabila na mila zao hajawahi kuliskia ila ndilo hili linamsumbua akili. Ni wa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
for those in relationship or married consider this parable and deduce the lesson you can learn to enhance your r/ship or marriage. A little bird was flying in winter..The bird froze and fell on...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanajamii katika maisha ya ndoa binadamu tunakutana na mengi. Ni hili lililotokea karibuni ndio limenishangaza zaidi mwenzenu! Jamaa amemuacha mke na watoto wake na kutimkia kwa mama yake! Hii...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kama wewe ni kizazi cha Adam na Hawa basi suala la ndoa linakuhusu sana na ndoa ni kitu beautiful, Kwani huleta mahusiano ya kutosheleza yanayowaunganisha watu wawili mke na mume.Inapendeza kwamba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana JF ... hili limekaa vipi?.. Mie nimetoka Mkoani nimekuja Jijini(DAR).. kwa Mapumziko kidogo, kusalimia ndugu na marafiki zangu.... sasa jamani ugumu nimeukuta ktk ishu moja... Rafiki zangu...
6 Reactions
117 Replies
10K Views
Kama nimeipenda, utaipenda tu :) ******************** Photo/FILEFor various reasons, remaining legally married but leading separate lives under the same roof is a trend...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Yawezekana aijakukuta lakini nakutaarifu tu mistake za kuwazoesha waume zenu na mashoga zenu madhara yake ni makubwa sana sipendi kukimbilia kila kosa shetan shetani lakini kama tunaweza kuavoid...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
The home great thinkers,hv kuna namna yoyote m2 anaweza apply ili kupunguza au kuzuia kabisa kuwaka kwa tamaa za mwili ambazo lengo lake kubwa ni kutuangamiza?
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Katika familia yangu nina mke wangu, kijana wa kiume na nina msichana. Vijana wangu wwana umri wa miaka 20 na msichana ana miaka 25. Mimi huwa nachanganyikiwa na si siri huwa naumiwa endapo...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom