Habarini jf members! Sasa mimi kama nilivyojieleza ni mgeni katika ulimwengu wa wapendanao kwa ufup sijawahi jihusisha kabisa na harakati za kutafuta au kudeal na wasichana hadi sasa ila nadhani...
habari zenyu bana!?.
hii ni siri nakupeni wewe mwanaume mwenye kuwa na girlfriend au mke,usije ukathubutu kumtania mpenzi wako mambo yanayohusiana na mapenzi.kwa mfano umwambie"nampenda rafiki...
Jana jirani yangu wamebwatizana na mkewe kisa jamaa karudi nyumbani saa Nne usiku wakati kawaida yake saa mbili huwa anakuwa sebuleni anaangalia TV.
Nikajiuliza kwani ni haki kwa mwanaume...
Kuna mama hapa mtaani baada ya kutalakiana na mumewe sasa anaishi na house boy wake maisha ya KINYUMBA.
Mama huyo sasa amesusiwa kutembelewa na wanawawe kwa aibu hiyo. Hoiuseboy mwenyewe is less...
Kuna jamaa mmoja nimwite kwa jina la YUDA alikuwa ameoa na wamejaliwa na Mungu watoto watatu. Alikuwa anafanya biashara ya kuuza miwa hapa kijijini kwetu, maisha yalivyokuwa yanaendelea alianza...
Kila nikipishana nae lazima ajigusishe ziwa lake mwilini mwangu au anipige na kalio na mara nyingine mkono wake anauleta huku maeneo nyeti.
leo nlipokuwa natoka home kuja job kanipiga kibao fulani...
Mimi nina binti kaolewa na ana watoto 2 na wanakaa kwao kwenye nyumba ya yeye na mumewe,mama yuko mko mwingine na wao wako Mkoani lakini anamlalamika mama mkwe wake kila akienda kuwatembelea...
ukipenda chukua ukinuna achana nazoSIRI YA KUMVUTIA MUME MUDA WOTE:
Ni kweli upo kwenye mahusiano na katika mahusiano yako mwanaume uliyenaye ni wa uhakika, safi kabisa na hongera sana.
hata hivyo...
upo kwenye pati alone anakuja mkaka anakuomba kampani anadai yuko single tena lonely sana wisho wa siku mnapeana number kesho yake anakupigia mchana inafika siku umetoka kwenye mahangaiko ni...
Kuna usemi uliozoeleka ya kwamba chakula fulani ni kitamu au vyakula fulani ni vitamu. Binafsi nakataa kwa sababu chakula chochote ili kiwe kitamu kinahitaji mapishi mazuri. Ndio maana ukienda...
Natanguliza na salaam.
Kuna dada flani amepatwa na tukio ambalo hakutarajia japo ni mtu amekomaa.Anadai kuwa katika kabila na mila zao hajawahi kuliskia ila ndilo hili linamsumbua akili.
Ni wa...
for those in relationship or married consider this parable and deduce the lesson you can learn to enhance your r/ship or marriage.
A little bird was flying in winter..The bird froze and fell on...
Wanajamii katika maisha ya ndoa binadamu tunakutana na mengi. Ni hili lililotokea karibuni ndio limenishangaza zaidi mwenzenu! Jamaa amemuacha mke na watoto wake na kutimkia kwa mama yake! Hii...
Kama wewe ni kizazi cha Adam na Hawa basi suala la ndoa linakuhusu sana na ndoa ni kitu beautiful, Kwani huleta mahusiano ya kutosheleza yanayowaunganisha watu wawili mke na mume.Inapendeza kwamba...
Kama nimeipenda, utaipenda tu
:)
********************
Photo/FILEFor various reasons, remaining legally married but leading separate lives under the same roof is a trend...
Yawezekana aijakukuta lakini nakutaarifu tu
mistake za kuwazoesha waume zenu na mashoga zenu madhara yake ni makubwa sana
sipendi kukimbilia kila kosa shetan shetani lakini kama tunaweza kuavoid...
The home great thinkers,hv kuna namna yoyote m2 anaweza apply ili kupunguza au kuzuia kabisa kuwaka kwa tamaa za mwili ambazo lengo lake kubwa ni kutuangamiza?
Katika familia yangu nina mke wangu, kijana wa kiume na nina msichana. Vijana wangu wwana umri wa miaka 20 na msichana ana miaka 25.
Mimi huwa nachanganyikiwa na si siri huwa naumiwa endapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.