Kutikisa makalio sawa na kuacha kitovu na maziwa nje mbona hamsemi?

Biera

JF-Expert Member
Dec 7, 2010
464
78
Wadau nimevumilia tabia kwa muda mrefu tabia hii ya wakina dada ya kutikisa makalio pale waonapo wanaume wengi tumekaa,saa nauliza lengo ni kututia hamasa au tuone maumbile yao.?
 
Mhhhhh sasa wasipotingisha,wafanye nini
na huku wamejaaliwa na kubarikiwa......

Wewe ulitaka wafanye nini na mkalio yao?


Mimi nataka watingishe zaidi.....
 
Mimi nilitaka...wactikise na yajitikise yenyewe automatically maana kuna wengine vimbaumbau wanatingisha mifupa 2 lol!
 
Tena kuna wenghne kwenye daladala wanakusogezea mzigo karibu mkiwa mmecmama,ukijaribu kugeuka unakuta mwngne nae kauegesha mzigo yaani tabu 2pu,kwa hakika bila boxers ningeaibika.
 
Mhhhhh sasa wasipotingisha,wafanye nini
na huku wamejaaliwa na kubarikiwa......

Wewe ulitaka wafanye nini na mkalio yao?


Mimi nataka watingishe zaidi.....

kwan ****** ni ubao wa matangazo? Anatangaza nin kwa kuyagagamua mbele ya wanaume?
 
Aha aha...wengne wame2mia mchina na kalio moja limekuwa kubwa zaidi ya jingine.
 
Back
Top Bottom