Mimi nilitaka...wactikise na yajitikise yenyewe automatically maana kuna wengine vimbaumbau wanatingisha mifupa 2 lol!
hahahahhahaha tikisa ulichobarikiwa:coffee:
vipi wewe?huwa unatikisa,?
Yapo ya kutosha?
yatoke wapi ndugu yangu,mimi huwa natikisa kibichwa changu kiaina:laugh:
pole sana...
pole ya nini sasa,wakati najisaidia kama kawaida,natoa hewa na kukaa naweza :coffee:
ha ha ha kumbe lugha safi waijua?lol
kule umeongea hivyo hivyo lakini maneno tofauti....
Ha ha ha
Mhhhhh sasa wasipotingisha,wafanye nini
na huku wamejaaliwa na kubarikiwa......
Wewe ulitaka wafanye nini na mkalio yao?
Mimi nataka watingishe zaidi.....
hujui lugha ya chumbani na uwani tofauti
ya chumbani inasisimua..
kwan ****** ni ubao wa matangazo? Anatangaza nin kwa kuyagagamua mbele ya wanaume?