Unamtambulisha mchumba/mke/mume wako kwa rafiki yako wa jinsia moja na wewe na kubadlilisha mawasiliano na huyo rafiki yako. Mara baada ya muda, rafiki yako anakuwa na mawasiliano mengi kwa...
Ni mwanaume rijali mwenye umri wa kuwa na mwenza ambaye pamoja twaweza kutengeneza maisha ya mme na mke japo watoto ni majaliwa
Ninamtafuta mwanadada ila asiwe mwela a.k.a askari,awe na umri...
Kuna watu wanaamini wakiwaambia wapenzi wao maisha ukweli wa maisha yao ya kale basi inaonyesha uaminifu na mwenzi kuridhika. Na wapo wengine wanaamini ni disaster kufanya kitendo kama hicho.
Je...
Soma hapa chini yanayojiri kwenye wadada wanaochangamkia married men. Unaweza kujifunza kitu hapa kuhusu kujiepusha nao!
Dating unavailable man.
By Kiundu Waweru
Few weeks ago, Tony M...
Mwezi huu ni mwezi wa furaha kwani siku chache zijazo tutaanza kusikia kila kona ya miji mbalimbali duniani kote ikitawaliwa na nyimbo na mapambo ya X-Mas na mwaka mpya. Hii inaonyesha ni jinsi...
Habari wanajamvi,
mwenzenu nina mke na mtoto mmoja yapata miaka 6 sasa,
mwanzoni tulipooana mapenzi yalikuwa moto na kila mmoja alienjoy,baadae kidogo nikawa busy na masomo (kujiendeleza...
Jamani salama?wakubwa shikamon..wadogo marahaba!vijana mambo vp?,jamani nilikuwa naomba kitu kimoja nilikuwa napenda kama ningepata mtoto wakike ambaye ataniliwaza kwenye mapenzi.mimi nina 21,ni...
Muda huu nikiwa nangoja basi ili nirudi nyumbani kutoka kazini mara nikamuona mke wa jirani yangu akija huku akiwa amenuna na kukunja sura.
Alikuwa anatembea kwa mwendo wa kasi kuelekea upande...
du jamani mke wangu nampenda na amesaliti mara kibao lakini kumwacha nimeshindwa mana akiwa mbali nami huwa nakumbuka alivyo sexy roho inauma namrudisha,nifanyeje?
unakuta demu wako anajua kabisa kuwa wewe mpenzi wa mpira na anajua kabisa kuwa wakati unaangalia mechi hutakagi bugudha.
chakushanga anakutumia text oh bby cn we go out oh naomba unifanyie...
Namtafuta rafiki wa kawaida tu ila mwenye sifa zifuatazo;
1.awe muislamu
2.umri 15-20
3.Elimu kuanzia kidato cha na kuendelea
4.asiwe katika ndoa
5.awe mkarim
Wana jf,i have confirmed myself that nampenda na nipo tayari kuwa naye kimaisha.Huyu msichana nashindwa kumsoma anawaza nn juu yangu,hapo mwanzo niliwahi kumu-approuch ila nilimsoma hakuwa tayari...
jamani mm natokea masomoni.ntafka kwetu ck ya jumatano....najiuliza nimpelekee zawadi gani mpenzi wangu wa kike ambayo ataiona ni nzuri kwake? nishaurini jamani......
Hivi ni kwanini wengi wetu tunabadilika baada ya ndoa hata kama uchumba ulidumu muda mrefu kiasi cha kutosha kujuana vyema!?
mfano; mtu ulimjua kuwa ni mcheshi,muongeaji mzuri tu,mshauri wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.