Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mnamo August 12, 1997 majira ya Mchana Katika wilaya ya Lake nchini uingereza kundi la wazamiaji kutoka mji mdogo wa Kendal waliamua kwenda kufanya mazoezi katika mto ulioko jirani wa Caniston...
14 Reactions
87 Replies
11K Views
habari za asubuhi waugwana, siku za nyuma nliwahi kuandika kuhusu msichana flani ninaye mpenda lakini anadai ana mtu na akadai kama nataka tunaweza fanya mapenzi then tupotezeane kabisa. Sasa...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Naanza kwa angalizo kwamba habari hii haikulengwa kwa wanawake wote katika ujumla wao, bali kwa wale maalumu waliojikita ktk tasnia ya kuuza miili yao, iwe kwa kujikimu au kwa tamaa tu ya "pepo la...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Kuna siku nilikua pale DSE kumuulizia Broker mmoja (wakiume) nikaambiwa hayupo,,mara mdada mmoja akadakia kwa kusema,,"afadhali leo hakuja kwani pafyume yake huwa inakera. Leo nimeingia ofisi...
1 Reactions
30 Replies
6K Views
Watu hawaishi kuuliza kama inawezekana kuwa na mtu ambae yuko mbali nae na mahusiano yao yakasurvive. Jibu ni NDIO, ila kuna mambo ambayo mnatakiwa mzingatie ili mfanikishe mahusiano yenu...
10 Reactions
161 Replies
13K Views
Kwa vile wapo distance relationship jamaa ameambiwa na girlfriend wake kwamba amtafute wa kumpoozea hamu, halafu na huyo girl yeye pale akiwa na hamu atakuwa na mtu wa kumtuliza hamu,ila malengo...
0 Reactions
64 Replies
5K Views
jamani niko serious nahitaji mwanamke ambae ni zeruzeru awe my wife age kuanzia miaka 28-30
0 Reactions
21 Replies
3K Views
wana jf, juz nilikuwa jmos naliomba ushauri kuhusu ku-divert zawad kutoka kwa msichana ambae nilikuwa na mpango wa kuwa na mahusiano nae kwenda kwa kifaa kipya ambacho nimekipata hv karibuni. Wana...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Wadau my ex gal wangu cjui ananitafuta uchokozi gani,ananifuatlia sana facebuk,kila nkicomment kwa msichana yeyote lazima aniulze ni nani wangu,ananitagg picha zake bila ruhusa yangu,jana kanitagg...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Jamani huyu wifi yangu amezidi dharau sana kaka angu anaumwa amelazwa Regency majirani zangu wamenisindikiza na wamemnunulia mgonjwa juice ya Azam box kubwa wifi yangu alivyo fika nakuona ile...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Unamtambulisha mchumba/mke/mume wako kwa rafiki yako wa jinsia moja na wewe na kubadlilisha mawasiliano na huyo rafiki yako. Mara baada ya muda, rafiki yako anakuwa na mawasiliano mengi kwa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ni mwanaume rijali mwenye umri wa kuwa na mwenza ambaye pamoja twaweza kutengeneza maisha ya mme na mke japo watoto ni majaliwa Ninamtafuta mwanadada ila asiwe mwela a.k.a askari,awe na umri...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kuna watu wanaamini wakiwaambia wapenzi wao maisha ukweli wa maisha yao ya kale basi inaonyesha uaminifu na mwenzi kuridhika. Na wapo wengine wanaamini ni disaster kufanya kitendo kama hicho. Je...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Soma hapa chini yanayojiri kwenye wadada wanaochangamkia married men. Unaweza kujifunza kitu hapa kuhusu kujiepusha nao! Dating unavailable man. By Kiundu Waweru Few weeks ago, Tony M...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Mwezi huu ni mwezi wa furaha kwani siku chache zijazo tutaanza kusikia kila kona ya miji mbalimbali duniani kote ikitawaliwa na nyimbo na mapambo ya X-Mas na mwaka mpya. Hii inaonyesha ni jinsi...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari wanajamvi, mwenzenu nina mke na mtoto mmoja yapata miaka 6 sasa, mwanzoni tulipooana mapenzi yalikuwa moto na kila mmoja alienjoy,baadae kidogo nikawa busy na masomo (kujiendeleza...
1 Reactions
74 Replies
7K Views
How do you define a woman in all aspects??,
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani salama?wakubwa shikamon..wadogo marahaba!vijana mambo vp?,jamani nilikuwa naomba kitu kimoja nilikuwa napenda kama ningepata mtoto wakike ambaye ataniliwaza kwenye mapenzi.mimi nina 21,ni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
habari zenu.....mie natafuta demu waku-enjoy nae ambaye yupo tayari for no strings attached relationship twanga 0765417046
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Muda huu nikiwa nangoja basi ili nirudi nyumbani kutoka kazini mara nikamuona mke wa jirani yangu akija huku akiwa amenuna na kukunja sura. Alikuwa anatembea kwa mwendo wa kasi kuelekea upande...
6 Reactions
78 Replies
6K Views
Back
Top Bottom