Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Watu wengi hasa vijana walioko mashuleni na vyuoni wamekuwa na matarajio mengi yaliyo finyu ktk mahusiano wengine wakidhani kwamba akimaliza masoma bila kuwa na mke aliyesoma nae anajiona...
0 Reactions
65 Replies
10K Views
habar zenyu bana, wandugu kuna she flan nilimzimikia km miez 8 hv iliyopita, nikiwa ktk harakat za kumwonyesha namjal baada ya kutoka nae out km mara 3 hv, nilisafir kwenda mkoan nilipozaliwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
jamani niko na ndugu yangu mmoja tulipotezana mda mrefu sana tulikua ni marafiki wa karibu sana wa kushare siri...! to make the long story short ni kwamba tumekuja kukutana mda sio mrefu...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Mume anarudi toka kazini anapokewa na mkewe halaf hawajajuliana hali vizuri anauliza dada amelala?(mfanyakaz),au unaenda dukan na mumeo unamwambia ninunulie kiatu,anakuambia nimeona cha dada.Je...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hapa chuon kwetu kuna mama anafanya kazi ktk ofisin fulani ,na nmekuwa classrep kwa muda toka nikiwa first year mpaka sasa second year,kinachonishangaza ni huyu mama anayefanya kazi kwenye hii...
0 Reactions
76 Replies
8K Views
Ikiwa zimebaki wiki chache kabla ya kuanza sikukuu mfululizo, hatuna budi kumshukuru Mungu kwa uwezo wake na mapenzi yake kutuacha hai mpaka siku hii ya leo tunapoelekea mwisho wa mwaka. Hakika...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
habari zenu wapendwa! mume wangu alikwenda site tunako jenga, alikwenda tangu asubuhi, akarudi sa 8 usiku, na alipokuja nilimfungulia mimi na akalala tv room, ila anachonishanga akiwa site huwa...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Nawaomba members wapenzi wa kiswahili na sanaa ya ushairi tubalidishane maoni na baadhi tungo za kishairi ili kuboresha lugha na kuinua hadhi yake. naomba nipeni maoni yenu kuhusu "kilio changu...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna mdada yuko raskazone- tanga,alikosea namba, simu ikaingia kwangu,nikapokea fresh thn me nkamwambia kakosea number,toka cku hyo mdada wa watu hapitishi cku bila kunipigia simu eti asikie tu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
jamani utajuaje kuwa u love someone au u just like someone
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Kwa nini wanaume wanakuwa wakali wife/girl friend/lover wanapo pewa vitu na watu wengine? Na kwanini kitucha kwanza wanafikiri ni kuwa wamepewa na wanaume? Is it because they do the same to other...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Mwanamake anajua fika kabisa kuna family nyumbani mke na watoto..shida yake sasa amekwisha kutamani ulalale naye hata siku moja,sasa atakapoanza kukuonyesha mapozi mwanzoni..akitoka hapo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari JF, Siku nyingi kidogo sikua nimeingia kwa jukwaa kwa sababu ya majukumu ya hapa na pale lakini leo nmebahatatisha ka mda kiddogo. Nimejikuta nikiwaza, na nikahitimisha kua tunahitaji...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Nimekuwa nikijiuliza hili swali kila siku, Wana JF ambao mmeajiriwa maofisini, hivi huwa mnapata muda kweli wa kufanya kazi za ofisi? Na mada mnazoposti hususan za mahusiano huwa mnazipata wapi...
1 Reactions
59 Replies
4K Views
Muda huu tunapoongelea uhuru wa miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika, kuna mwanamke hapa Chan'ombe Dodoma limemshuka, tena looooooooooooooote! Ameolewa ana miaka 9 ktk ndoa yake ingawa hajabahatika...
1 Reactions
53 Replies
4K Views
Kwa muda nimekuwa nikiwachunguza wanawake/wasichana ambao wanaingia katika mahusiano/ndoa kutoka katika familia ambazo wazazi wametengana au waliwahi kutengana. Kwa wachache nilipata fursa ya...
5 Reactions
19 Replies
3K Views
Wadau naomba mawazo yenu. Kuna binti tuko nae chuoni,ila nilifahamia nae zaidi baada ya kuattend conference pamoja hivi karibuni. Tukabadilishana namba na tumekuwa tukichat tu mara kwa mara.saa...
0 Reactions
58 Replies
4K Views
Wanadamu tumekua wepesi kuomba, lakini wazito kushukuru. Napendekeza kwa wale ambao wameshafanikiwa kupata wachumba/wake/waume kupitia safu hii ni vyema wakarejea na kutoa shukrani zao ili na...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
daah! Mpaka nimechoka yan nimetafuta wa kunliwaza na kunituliza moyo nimekosa nifanyeje!
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Natafuta kachumba ka nguvu..kama upo powaaa
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom