jamani niko serious nahitaji mwanamke ambae ni zeruzeru awe my wife age kuanzia miaka 28-30
Hapana mkuu nimetokea kuwapenda na wao wanahitaji faraja kama wengine i love them so much
Mbona unakuwa mbaguzi wakati nchi yetu tnakemea ubaguzi.....but una lako jambojamani niko serious nahitaji mwanamke ambae ni zeruzeru awe my wife age kuanzia miaka 28-30
mkuu! hauna agenda ya siri kweli? na waswasi na wewe!