Ziltan
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 2,649
- 6,832
Habari wanajamvi,
mwenzenu nina mke na mtoto mmoja yapata miaka 6 sasa,
mwanzoni tulipooana mapenzi yalikuwa moto na kila mmoja alienjoy,baadae kidogo nikawa busy na masomo (kujiendeleza privetly) hapo kidogo ikapunguza kukutana 6x6 kwan mara nyingi nlikuwa nnkirudi kitandan karibu saa 8 za usiku kwa muda wa miak karibu 3,
baada ya hapo nikachaguliwa kwenda chuoni na nashukur nimegraduate mwez jana na sasa nnko nyumban full,
kilichonileta hapa kuomba ushauri ni kwamba kwa sasa mimi huwa siwezi kabisa kulala bila kupata sex,
na hilo jambo shemeji yenu linamshinda pamoja na jitihada zote za kukaa naye kwa upendo wote ,kumwandaa kabla ya tendo ikiwemo kwenda sana uvinza, nk,
lakini haitoshi kwani huwa anaomba nimpumzishe na tukienda anawahi kuchoka japo anajitahidi hivyohivyo kunilinda lakini analalamika sana hadi namuonea huruma kwani kwa sasa anazidi kupungua mwili na sababu aliyonieleza ni hiyo ya kusex kila siku,
naomben ushauri ktk hili tafadhali.
mwenzenu nina mke na mtoto mmoja yapata miaka 6 sasa,
mwanzoni tulipooana mapenzi yalikuwa moto na kila mmoja alienjoy,baadae kidogo nikawa busy na masomo (kujiendeleza privetly) hapo kidogo ikapunguza kukutana 6x6 kwan mara nyingi nlikuwa nnkirudi kitandan karibu saa 8 za usiku kwa muda wa miak karibu 3,
baada ya hapo nikachaguliwa kwenda chuoni na nashukur nimegraduate mwez jana na sasa nnko nyumban full,
kilichonileta hapa kuomba ushauri ni kwamba kwa sasa mimi huwa siwezi kabisa kulala bila kupata sex,
na hilo jambo shemeji yenu linamshinda pamoja na jitihada zote za kukaa naye kwa upendo wote ,kumwandaa kabla ya tendo ikiwemo kwenda sana uvinza, nk,
lakini haitoshi kwani huwa anaomba nimpumzishe na tukienda anawahi kuchoka japo anajitahidi hivyohivyo kunilinda lakini analalamika sana hadi namuonea huruma kwani kwa sasa anazidi kupungua mwili na sababu aliyonieleza ni hiyo ya kusex kila siku,
naomben ushauri ktk hili tafadhali.