Ndechumia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,103
- 418
wana jf, juz nilikuwa jmos naliomba ushauri kuhusu ku-divert zawad kutoka kwa msichana ambae nilikuwa na mpango wa kuwa na mahusiano nae kwenda kwa kifaa kipya ambacho nimekipata hv karibuni. Wana jf weng waliniunga mkono wakiniambia kuwa hiyo zawad ambayo ni gaun km bado lipo ktk hali nzur naweza kumpa, na ile ya kusuka rasta za kimasai bora nimpe pesa apange mwenzewe nn cha kufanya. Zoezi nimelifanya na amefurah sana, nawashakuru sana.