KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Kuna siku nilikua pale DSE kumuulizia Broker mmoja (wakiume) nikaambiwa hayupo,,mara mdada mmoja akadakia kwa kusema,,"afadhali leo hakuja kwani pafyume yake huwa inakera.
Leo nimeingia ofisi moja kuna wadada na wanaume wanajadili mdada mmoja ambaye ni secretary,jinsi ya kumwambia, kwani pafyumu yake huwa inawakera pindi anapokatizakatiza kwenye makoridor.
Kama mjuavyo kuna brand tofautitofauti za pafyumu:-
-Sasa wakuu, hiyo pafyumu uliyotumia unajuaje kuwa haiwakeri wenzako?
-Ivi unapaka pafyumu kwasababu unaipenda au wenzako wataifurahia manukato yake?
-Unauhakika gani kuwa hujadiliwi kuhusu pafyumu unayotumia?
Kiukweli mimi huwa situmii kabisa pafyumu wala lotion,na mafuta ninayotumia ni yale yasio na harufu kabisa kama Vaseline na Nivea, yote haya kuepuka kumkwera mtu yeyote.
Leo nimeingia ofisi moja kuna wadada na wanaume wanajadili mdada mmoja ambaye ni secretary,jinsi ya kumwambia, kwani pafyumu yake huwa inawakera pindi anapokatizakatiza kwenye makoridor.
Kama mjuavyo kuna brand tofautitofauti za pafyumu:-
-Sasa wakuu, hiyo pafyumu uliyotumia unajuaje kuwa haiwakeri wenzako?
-Ivi unapaka pafyumu kwasababu unaipenda au wenzako wataifurahia manukato yake?
-Unauhakika gani kuwa hujadiliwi kuhusu pafyumu unayotumia?
Kiukweli mimi huwa situmii kabisa pafyumu wala lotion,na mafuta ninayotumia ni yale yasio na harufu kabisa kama Vaseline na Nivea, yote haya kuepuka kumkwera mtu yeyote.