Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Ni mwanaume rijali mwenye umri wa kuwa na mwenza ambaye pamoja twaweza kutengeneza maisha ya mme na mke japo watoto ni majaliwa
Ninamtafuta mwanadada ila asiwe mwela a.k.a askari,awe na umri 21-25,elimu ya cheti-diploma katika kozi yoyote akiwa na kazi ni nzuri zaidi,mwenye busara,mrefu wa saizi na zaidi awe ni mwaminifu na mcha Mungu...mengine tutasettle taratibu
Nawakaribisha wadada walio tayari ili tuweze kuwasiliana kwa kina,naomba uni-pm nami ntarespond pasipo shaka
NB;Niko siriazi katika jambo hili jamani.
Ninamtafuta mwanadada ila asiwe mwela a.k.a askari,awe na umri 21-25,elimu ya cheti-diploma katika kozi yoyote akiwa na kazi ni nzuri zaidi,mwenye busara,mrefu wa saizi na zaidi awe ni mwaminifu na mcha Mungu...mengine tutasettle taratibu
Nawakaribisha wadada walio tayari ili tuweze kuwasiliana kwa kina,naomba uni-pm nami ntarespond pasipo shaka
NB;Niko siriazi katika jambo hili jamani.