Nahitaji wife

Rweye

JF-Expert Member
Mar 16, 2011
16,958
7,512
Ni mwanaume rijali mwenye umri wa kuwa na mwenza ambaye pamoja twaweza kutengeneza maisha ya mme na mke japo watoto ni majaliwa

Ninamtafuta mwanadada ila asiwe mwela a.k.a askari,awe na umri 21-25,elimu ya cheti-diploma katika kozi yoyote akiwa na kazi ni nzuri zaidi,mwenye busara,mrefu wa saizi na zaidi awe ni mwaminifu na mcha Mungu...mengine tutasettle taratibu

Nawakaribisha wadada walio tayari ili tuweze kuwasiliana kwa kina,naomba uni-pm nami ntarespond pasipo shaka

NB;Niko siriazi katika jambo hili jamani.
 
Nitumie bundle la internet kwanza. . . .
Alafu PM watasoma we weka email.
 
Wewe mbona umeficha sana details zako?

Ni kweli sijaziweka lakini niko tayari kukupa endapo utazihitaji personally...kama unaweza kuni-pm kama nilivyosema basi ntaweka mambo hadharani,kuhusu email:deogratiasrutta@yahoo.com

karibuni sana.
 
Ni kweli sijaziweka lakini niko tayari kukupa endapo utazihitaji personally...kama unaweza kuni-pm kama nilivyosema basi ntaweka mambo hadharani,kuhusu email:deogratiasrutta@yahoo.com

karibuni sana.

Mi nilidhani kuweka wazi kungekurahisishia zaidi. Hata hivyo sio mbaya sana, kila la heri ndugu!
 
jamani,real/r u serious?

Mtangulize mungu kwenye hili,then kila kitu kitaenda sawa.
 
Ni mwanaume rijali mwenye umri wa kuwa na mwenza ambaye pamoja twaweza kutengeneza maisha ya mme na mke japo watoto ni majaliwa

Ninamtafuta mwanadada ila asiwe mwela a.k.a askari,awe na umri 21-25,elimu ya cheti-diploma katika kozi yoyote akiwa na kazi ni nzuri zaidi,mwenye busara,mrefu wa saizi na zaidi awe ni mwaminifu na mcha Mungu...mengine tutasettle taratibu

Nawakaribisha wadada walio tayari ili tuweze kuwasiliana kwa kina,naomba uni-pm nami ntarespond pasipo shaka

NB;Niko siriazi katika jambo hili jamani.

in red...
mkuu mbona unawabagua wenye shahada?
 
u seem serious.... ila nadhani ingepelekwa love connect hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom