Kisoda2
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 2,475
- 745
Inatokea umeingia katika restaurant, club ama sehemu yeyote ya public na uko mwenyewe tu,ghafla anaingia binti mrembo/kijana mtanashati naye yupo single(hajaambatana na yeyote).Moyo unakulipuka,na unatengeneza mazingira ya kumtokea kutaka kujiweka katika himaya yake/yako.
Katika kumshushia mistari ya hapa na pale unagundua amevaa pete ya ndoa,naye bila kusita anakutandika na jibu hili:Samahani nimeolewa/nina mke mie,hivyo huna haja ya kuniimbisha kihivyo.
Je,hizi pete zinasaidia kuzuia mashambulizi ya kimahaba nk, ama ndio zinaongeza kasi ya kutamaniwa zaidi?
Katika kumshushia mistari ya hapa na pale unagundua amevaa pete ya ndoa,naye bila kusita anakutandika na jibu hili:Samahani nimeolewa/nina mke mie,hivyo huna haja ya kuniimbisha kihivyo.
Je,hizi pete zinasaidia kuzuia mashambulizi ya kimahaba nk, ama ndio zinaongeza kasi ya kutamaniwa zaidi?