I dont think so! cha muhimu hapa ni kama kweli mnapendana.Na vilevile sisi wanadamu tuliumbwa kutoshelezana.regardless umbo na sura ,yule anayekutosheleza wewe anaweza asi-fit kwa chrispin hata awe mzuri kiasi gani.Huwa wanasema kuwa the beauty is in the eyes of the beholder.Na hii beaty wanayoisema sio uzuri wa sura pekee bali hata ile happiness unayoipata ukiwa na huyo mpenzi.
Ubarikiwe
Mh yanaweza yakawa matamu zaidi, maana huyo unampinda na kumbeba vyovyote vile unavyotaka kuliko akiwa tolu
I dont think so! cha muhimu hapa ni kama kweli mnapendana.Na vilevile sisi wanadamu tuliumbwa kutoshelezana.regardless umbo na sura ,yule anayekutosheleza wewe anaweza asi-fit kwa chrispin hata awe mzuri kiasi gani.Huwa wanasema kuwa the beauty is in the eyes of the beholder.Na hii beaty wanayoisema sio uzuri wa sura pekee bali hata ile happiness unayoipata ukiwa na huyo mpenzi.
Ubarikiwe
Lol! ZD wewe umetoshelezwa na mimi?
Siye bado wachumba,hatujakula tunda la mti wa mauti na uzima.
Afu kila siku nakuambiaga usitoe siri za ndani. Sasa ndo umefanya nini? Au unafikiri watu hawajui kuwa wachumba kula tunda ni kitu cha kawaida miaka hii?
mwanamke akishakuzidi urefu ATAKUSUMBUA!dawa yake(kwa wafupi wenzangu),ni kutembeza bakora kwenye kila kosa(bila kuzingatia udogo wa kosa hilo),azma kuu ni kurudisha heshima!
Nguli anaungana na mimi katika HILI