habari za hapa wanaukumbi , nimepata kijiproject kidogo cha kufanya utafiti wa sumu ya ndoa na nikaona nije hapa jamvini kupata vijisentensi kadhaa.
ningeomba kila post iwe na ujumbe ndani ya sentensi isiozidi mstari mmoja na kianzio kiwe, sumu ya ndoa ni ............
nikifanikiwa kupata mistari 100(i.e equvalent to 100 posts) nitakuwa nimemaliza project na kama ikizidi itakuwa ni vyema zaidi.
naomba tuwe serious na nitaonesha mfano katika post inayofuata ya muundo wa sentensi inavyohitajika kuwa.
kamilisha project hii ili iwe ni elimu kwa jamii inayopoteza mwelekeo katika maadili ya kindoa.
natanguliza shukran zangu kabisa.
ni mimi Mr. quiet
ningeomba kila post iwe na ujumbe ndani ya sentensi isiozidi mstari mmoja na kianzio kiwe, sumu ya ndoa ni ............
nikifanikiwa kupata mistari 100(i.e equvalent to 100 posts) nitakuwa nimemaliza project na kama ikizidi itakuwa ni vyema zaidi.
naomba tuwe serious na nitaonesha mfano katika post inayofuata ya muundo wa sentensi inavyohitajika kuwa.
kamilisha project hii ili iwe ni elimu kwa jamii inayopoteza mwelekeo katika maadili ya kindoa.
natanguliza shukran zangu kabisa.
ni mimi Mr. quiet