Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Modern Man's Kama Sutra!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwanamke/mwanamume ambaye hakuolewa/hakuoa hata kama ni tajiri, au ana cheo kwa hakika ni "Maskini na Mhitaji" "Nisingependa kuishi bila kuoa hata kwa usiku moja tu, hata kama ningekuwa namiliki...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Ukisoma kwenye magazeti, ukienda kwenye mitandao mbalimbali, wanaume ndio wanaongoza kwa kutafuta wachumba. Sababu nini hasa?
0 Reactions
20 Replies
5K Views
""Because we makes the world a better place plus we're better looking than men.And generally,we're better insurance risks too.So,we deserve a whole lot more than them,like a trolley-full of...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
-----Ni mdada unatarajia kufunga pingu za maisha hivi karibuni. Wakati mpo kwenye maandalizi ya harusi mnaanza kutambulishana kwa ndugu. Kumbe huko nyuma kabla ya kukutana na huyu mume...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
2009-11-05 12:14:00 Report monster husbands to me: First Lady First Lady Salma Kikwete greets Chimala Township residents during her tour of Mbeya Region on Tuesday.By The Citizen...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani kweli mahusiano ya kimapenzi ni magumu sometimes, Hii nimeikuta kwenye site moja, mwanamama analalamika kuwa mumewe kamwambia njia yake imekuwa kubwa so she must do something maana...
0 Reactions
180 Replies
17K Views
Nimeachwa, nimechanganyikiwa, sina mwelekeo! Kuvunjika moyo, kukatishwa tamaa, upweke, nk ni maneno yanayoelezea feelings za uzoefu ambao binadamu hupitia pale mahusiano yanapovunjika iwe...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
</SPAN> Young hulazimika kuvaa gloves anapokuwa karibu na mke wake. Tuesday, November 03, 2009 8:33 AM Mwanaume mmoja nchini Uingereza amedai kuwa na aleji na mke wake na mapigo yake ya moyo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Does money makes you attractive to the opposite sex?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Ndoa zawagawa wabunge Imeandikwa na Basil Msongo, Dodoma; Tarehe: 4th November 2009 @ 09:14 Habari Leo MBUNGE wa Kibakwe, George Simbachawene, amesema, kumzuia mtoto mwenye umri wa miaka 14 au...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hataki kuongea! Tunaendesha Km 8 huku hatuongei, acha tu! Swali: Mimi ni mwanamke ambaye nipo kwenye ndoa sasa mwaka wa 8 nimekuwa nikitatizika sana na tabi ya mume wangu kushindwa kuongea...
0 Reactions
30 Replies
8K Views
Kuponya Maumivu ya Kuachana (3) Wangekalea vizuri kasingekuwa kavuta bangi!Kuachwa (na mpenzi) ni tukio gumu na zito na huja na mabadiliko tofauti na kumpa mtu uzoefu wa aina yake, ni ngumu na...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wandugu humu jamvini hebu mnisaidie hapa. Jana nilipotoka kazini kwangu nilipita sehemu na jamaa yangu tulisom wote chuo lakini tukapoteana kwa takribani miaka 7. Kwa hiyo katika kupat nafasi ya...
0 Reactions
53 Replies
6K Views
Nasikitika sana na ushoga nchini. Vijana wanaharibika
0 Reactions
57 Replies
17K Views
Hii inaweza isiwe njia sahihi ya kutafuta mwenza wa maisha kwa watu wengi sana kwenye forum hii lakini mimi naomba kwa sasa niitumie baada ya kutumia njia nyingine nyingi tu na kukumbana na...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Ningependa kujua hapahapa janvini, wewe uwe mwanaume au mwanamke, ungependa kuwa na watoto wangapi katika familia yako kama hujaanza kuzaa au kama unaeye mmoja tayari. Jibu baada ya kuangalia...
0 Reactions
61 Replies
11K Views
Ni jioni, tumepumzika, na mpenzi wangu, mke wangu,katoto ketu ka miaka nane katundu kweli. Basi kanaleta utundu wake, nakafokea, kanazidi, nikakasirika na kukaambia 'we mbona mtudu hivyo...
0 Reactions
83 Replies
10K Views
She's single and searching for love:
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Unafanya kazi pamoja na mke wa Bosi , mara kwa anakukueleza how much she want your body ,ukawa unarusha na kutowa vijisababu , siku moja mupo ofisini peke yenu akakuvamia maungoni katika...
0 Reactions
90 Replies
10K Views
Back
Top Bottom